Msaada wa mchanganuo wa bei na miundombinu kuanzisha kituo cha mafuta (petrol station)

Hahahahhahahhaha
 
Kama ni hivyo bora ujikakamue uanzishe chako binafsi kuliko kuingia ubia
 
Pia kuna ubia
Mwenye kiwanja anatoa kiwanja chake kama sehemu ya mtaji..
Kiwanja kinakuwa kuwa valued.
Wewe unajenga..
Faida mnagawana...
Very simple..
Sasa nani asiyetaka fursa hiyo..
We jamaa uko nondo sanaa kwenye hii sekta kuna watu wana comment mpaka unaweza hisi kichefu chefu. kuna jamaa anajengaga sheli 400M anakujengea pump nne hapo kila kitu ananunua yeye ukiingia sokoni kununua vifaa mwenyewe ye abaki na ufundi tuu inaweza shuka maradufu
 
Hapa hutopata taarifa kamili zaidi ya hesabu za kwenye makaratasi;tembelea vituo mbalimbali na vyenye grade tofauti tofauti wakupe uzoefu pamoja na makadirio.
 
Viwanja tu vinafika milioni mia,halafu mtu anakwambia milioni 200 unaanzisha
Hata mm nashangaa jinsi watu wanavyorahisisha mambo.
Ingekuwa rahisi hvyo wachaga na waha wengi wangemiliki hizo sheli.
 
Kuna jamaa kafungua mwaka jana kwa pesa ndogo sana kama 20M tu hizi pesa nyingi mara 700 million au 2 billion ni za kufungulia kituo posta mpya au?
Mkuu hiyo mil 20 labda aliweka matank ya kuuza maji ya Dawasco lkn si sheli.
 
Mkuu upo sahihi sana.
Watu wanachukulia simple sana.
Hyo sio biashara ya watu wanaotafuta hela ya kula bali ni ya watu waliojitosheleza sana kipesa.
Kumbuka unapoivamia biashara kubwa Kama hyo Kuna dharula nyingi ambazo ni unpredictable.
 
Pale kuna option mbili
1. Kuna wengine wanakadi za mafuta za prepaid ambazo mtumiaji anakuwa nayo..
2. Wengine kituo cha mafuta wana Bank Overdraft kwa sababu mauzo yao wanaweka bank hiyo...
Mpaka Leo watu wanalipa mwisho wa mwezi. Nendo Total mlimani city uone dar lux anavojaza mafuta ya zaid ya laki tano kwa bus moja na mabasi yapo zaidi ya kumi.
 
Tena na kampuni nyingine wanafanya Hedging ya bei ya mafuta ya miezi hata mitatu ili kukwepa changamoto ya mabadiliko ya bei..
 
Your Ideal Budget

Land plot size 4400 sq m or 1 acre (depending on location)
= 30 Million

Storage tanks
:

One diesel tank of 25,000 liters capacity = 10 million
One petrol tank capacity 10,000 liters. = 7 million
17 Million

Dispensing pumps:


- One product, one nozzle. = 12 million
- Two products, two nozzles. = 17 million
29 million

Legal Costs including NEMC, EWURA, etc

= 8 million

Initial working capital for diesel and petrol.

= 72 million

9 kg dry powder fire extinguisher.
= 0.13 million

Standby generator (5 KVA).
= 2 million
74.13 Million

Initial salary for employees:


Manager = 0.8 million

Supervisor = 0.4 million

Pump attendant = 0.2 million

Watchman = 0.1 million

Sweeper = 0.1 million
= 1.5 Million


Furniture including sofa, carpet, desktop computer, chairs, tables, etc.

= 2.5 Million

1 canopy

= 30 million

Miscellaneous

= 3 Million

One electronic fiscal device (EFD).

= 0.86 Million
> Total Cost TZS 195 Million


NOTE: In this budget, I didn’t include construction costs of office buildings, toilets, and floors as it depends on how you want your station to be. I recommend you to hire a petrol station contractor who will help in designing and estimating your construction costs.
 
Take it from me, it is 500 million. I found this figure from expert of oil sector
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…