Mkuu unadhani mtu anyekwenda kula good time huwa anao muda wa kuchunguza hivyo... ? Si ataulizwa unataka tunda au unafanya research ya kuandika thesisSiku za Hatari ni zile Mwanamke anakuwa na hamu sana tena sana na Mwanaume. Na zina dalili zake
Sasa Muulize hivi
1. Je alikuwa na hamu sana ya kufanya Ngono na Wewe siku hiyo?.. Si ile ya kumchokoza bali ya Nature ya uanamke kupata mtoto
2. Dalili nyingine huwa wanawake wengi hupanda joto la mwili na kufikia hata 40C. Je! Alikuwa anayo dalili hiyo?
3. Ute uongezeka maradufu. Yaani ulaini ukeni. Je! Uliona dalili hiyo? Maana ute huu uongezeka hata Mwanaume asipomchezea Mwanamke. Unakuwepo automatic kwa sababu ya hamu ya mwanamke.
Jamani leo hii nimejisahau nimekula nyama nyama na mwanafunzi wa form six na yuko kwenye siku zake za hatari kwani ni siku yake ya kumi na tano tangu atoke kwenye MP,naombeni msaada nimwepushe na mimba ambayo inaposibility kubwa ya kuingia naombeni msaada jamani watalaam
mkuu usifunge wewe si mwalimu tusaidie maana si wanaharakati hata weweWanaharakati mpo wapi? Si lulu anaye hitaji. Msaada pekee,huyu bae wakusaidia kwa kumshitaki huyu bwana,anatembea na dent
Siku za Hatari ni zile Mwanamke anakuwa na hamu sana tena sana na Mwanaume. Na zina dalili zake
Sasa Muulize hivi
1. Je alikuwa na hamu sana ya kufanya Ngono na Wewe siku hiyo?.. Si ile ya kumchokoza bali ya Nature ya uanamke kupata mtoto
2. Dalili nyingine huwa wanawake wengi hupanda joto la mwili na kufikia hata 40C. Je! Alikuwa anayo dalili hiyo?
3. Ute uongezeka maradufu. Yaani ulaini ukeni. Je! Uliona dalili hiyo? Maana ute huu uongezeka hata Mwanaume asipomchezea Mwanamke. Unakuwepo automatic kwa sababu ya hamu ya mwanamke.
Na kumbuka kuwa kama Yote hayo alikuwa nayo Basi uwezekano wa Mimba ni mkubwa maana Yai ndo limeiva. Lakini kama dalili hizo hazikuwepo Basi umeponea
Pia elewa hili siku zote. Tunaanza kuhesabu kuanzia siku anapata damu yake ya kwanza siyo siku anamaliza kubleed. Kwahiyo kama mzunguko wake ni siku 28 basi siku hatari ni ya 14, kama ni 30 basi ni 15, kama ni 24 ni 12. Always ni Nusu ya mzunguko wa hedhi ndipo yai linatoka
Chunguza siku zake ni Ngapi halafu nusu ya siku zake ndo siku hatari na Dalili hapo juu ndo huwa zinaanza. Na dalili hizo hudumu kwa Mda wa siku Tatu kwa wanawake wengi, na zinaisha kuashiria kuwa Yai limekufa tayari.
Nadhani umenielewa mkuu
We unachoogopa ni kumpa mimba, mbona huogopi kama umeambukizwa ngoma? anza kujiandaa kula ARVs