Msaada wa muundo wa barua ya kuhama kituo Cha kazi

Msaada wa muundo wa barua ya kuhama kituo Cha kazi

tonnylee

Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
24
Reaction score
4
Wakubwa heshima kwenu, naomba kusaidiwa muundo wa barua ya uhamisho.

Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nataka nahama kutoka Halmashauri moja kwenda nyingine

Binafsi sifahamu njia za kupitia ili nifanikiwe kwa haraka. Natanguliza shukrani za dhati kabisa
 
Nenda ukaongee na Afisa Elimu wako hapo ulipo. Wanazingua hatari na wakati mwingine inabidi uhonge. Au utafute mwalimu wa kubadilishana naye vituo - yeye aje huko na wewe uende kwake. Shida tupu yaani!
 
Yani ww haupo serious, mwalimu uame kwa kuandika barua?? mm nikajua unauliza uandae sh. ngapi ya kuhonga ufanikiwe ww unaulizia format ya barua??

Una miaka 10 mingine kwenye hicho kituo
 
Nenda ukaongee na Afisa Elimu wako hapo ulipo. Wanazingua hatari na wakati mwingine inabidi uhonge. Au utafute mwalimu wa kubadilishana naye vituo - yeye aje huko na wewe uende kwake. Shida tupu yaani!
Dah,,acha tukaka
 
Wakubwa heshima kwenu, naomba kusaidiwa muundo wa barua ya uhamisho.

Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi nataka nahama kutoka Halmashauri moja kwenda nyingine

Binafsi sifahamu njia za kupitia ili nifanikiwe kwa haraka. Natanguliza shukrani za dhati kabisa
Kuna Uhamisho wa ndani ya halmashauri,ndani ya mkoa na nje ya mkoa.Wew ni upi?
 
Back
Top Bottom