habarini wanajamvi...wandugu naomba msaada kwa anayejua psychologist wa kuaminika hapa dar anayeweza kunisaidia tatizo langu...tatizo langu ni kwamba siku hizi nawahi sana kukojoa ktk kujamiiana na naamini ni suala la kisaikolojia kutokana na matukio kadhaa kabla ya tatizo hili kunipata...nimejitahidi kusoma ushauri wa watu ktk threads za suala hili lakin bado sijapata ufumbuzi,sasa nahitaji kuonana na mwanasaikojia maana nazidi kukosa confidence hali ndo inazidi kuwa mbaya zaidi...Naombeni msaada kwa anayejua mtaalam wa mambo haya. Asanteni.