creedfx
Member
- Jun 24, 2022
- 89
- 41
Ni shida ya vijana wengi wa Taifa langu pendwa la [emoji1241] kwani watu tunasoma hadi elimu ya juu lakin bahati mbaya hatujui tunaenda soma nini baada ya kuhitimu sana sana kwa masomo mageni kama economics accountancy na masomo mengine ambayo ndo tunatakuta elimu ya juu
Dah kwa bahati mbaya huu mtego haujajiacha salama nimejaribu kusoma literature review nikapata majina ya kozi nyingi sana na vyuo ila mpaka sasa sijui kozi ipi niisome
Kwanza niehitimu kwenye tahasusi ya EGM na napenda sana masuala ya odditing bank na industry work ila sijui kozi gani itanisaidia kufika huko ninapo patamani
Naombeni msaada wa ushauri hata kama ni kwa njia ya maswali itapendeza
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Dah kwa bahati mbaya huu mtego haujajiacha salama nimejaribu kusoma literature review nikapata majina ya kozi nyingi sana na vyuo ila mpaka sasa sijui kozi ipi niisome
Kwanza niehitimu kwenye tahasusi ya EGM na napenda sana masuala ya odditing bank na industry work ila sijui kozi gani itanisaidia kufika huko ninapo patamani
Naombeni msaada wa ushauri hata kama ni kwa njia ya maswali itapendeza
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app