Waungwana habari zenu..nina Ndugu yangu amepatwa na tatizo katika suala zima la kufanya application za vyuo yeye ana Diploma na anataka kujiongeza kuelekea kwenye degree courses
Sasa tangu tar 15 a kitakua kulipia Mpesa iyo sh 50,000/= kupitia menu hii walioianisha kama ifuatavyo:
-*150*00#
-select option 4,pay via Mpesa
-select option 4,enter business number 240027
-enter payment reference number 123456
-enter amount 50,000/=
-enter your PIN
-enter 1 to confirm
Basi tukishafuata maelezo hayo unapoziingiza izo namba kwenye Mpesa unapata message isemayo
"NDUGU MTEJA TUNA TATIZO LA KIMTANDAO KWASASA TAFADHALI JARIBU TENA BAADAE"
Tangu iyo tar 15.7.2015 mpaka sasa..tumeshawapigia voda mara nyingi tu wanasema tatizo liko kwa watu wa nacte na nacte nao ukiwapigia wanasema tatizo liko kwa watu wa voda
Kwa mwenye ufahamu tafadhali atusaidie au kama kuna nilipokosea nifahamisheni
Muda Wameongeza mpaka tar 2.august
Sasa tangu tar 15 a kitakua kulipia Mpesa iyo sh 50,000/= kupitia menu hii walioianisha kama ifuatavyo:
-*150*00#
-select option 4,pay via Mpesa
-select option 4,enter business number 240027
-enter payment reference number 123456
-enter amount 50,000/=
-enter your PIN
-enter 1 to confirm
Basi tukishafuata maelezo hayo unapoziingiza izo namba kwenye Mpesa unapata message isemayo
"NDUGU MTEJA TUNA TATIZO LA KIMTANDAO KWASASA TAFADHALI JARIBU TENA BAADAE"
Tangu iyo tar 15.7.2015 mpaka sasa..tumeshawapigia voda mara nyingi tu wanasema tatizo liko kwa watu wa nacte na nacte nao ukiwapigia wanasema tatizo liko kwa watu wa voda
Kwa mwenye ufahamu tafadhali atusaidie au kama kuna nilipokosea nifahamisheni
Muda Wameongeza mpaka tar 2.august