Ivi mtu unaona ugumu gan kusema ni wewe unatafuta kazi hadi useme ni ndugu yako,huyo ndugu yako yeye ni mdogo sana kias kwamba hawezi hata kuingia humu jf akaeleza shida yake?
We sema ni demu wako,ukificha ipo siku utakuja laumu watu, Ninavyofahamu waliosomea course hiyo wanaweza pia kufanya kazi ya kuwa WASEMAJI wa kampuni au organization. Je anaweza na yupo tayari ani-pm na cv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.