Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 40,828 Reaction score 99,523 Jan 9, 2023 #1 Msaada wa namba ya simu: Waziri/Naibu wa elimu ama katibu wa wizara ya elimu Naomba kuwasilisha
A ADK JF-Expert Member Joined Jan 13, 2012 Posts 2,236 Reaction score 809 Jan 9, 2023 #2 Ngoja wataleta
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 21,329 Reaction score 28,063 Jan 9, 2023 #3 Mkuu ukiipata na mimi naomba pia
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 38,657 Reaction score 44,759 Jan 9, 2023 #4 Ushimen said: Naomba kuwasilisha Click to expand... Uwe makini mkuu watakulengesha kwa wasiojulikana Nashauri uandike email inapatikana kwenye website yao
Ushimen said: Naomba kuwasilisha Click to expand... Uwe makini mkuu watakulengesha kwa wasiojulikana Nashauri uandike email inapatikana kwenye website yao
Mpwayungu Village JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 14,540 Reaction score 30,875 Jan 9, 2023 #5 Ulisema hutaandika uzi wowote ule, kwahiyo namba ninazo ila situmi Kwa kuwa wewe ni muongo ulituaga khabisa
Ulisema hutaandika uzi wowote ule, kwahiyo namba ninazo ila situmi Kwa kuwa wewe ni muongo ulituaga khabisa