Msaada wa namna ya kuangamiza hawa wadudu shambani

Kaiche

Senior Member
Joined
Jan 23, 2017
Posts
147
Reaction score
297
Habari wanajamvi na wataalamu wa kilimo

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimekuwa na utaratibu wa kuzunguka shamban kwangu mara kwa mara ,,,Leo nimegundua kuna wadudu wa aina mbili ambao wanashambulia mazao ,,naambatanisha na picha zao

Hivyo basi naomba msaada wa dawa ambazo zinaweza angamiza hawa wadudu coz mimi si mtaalamu sana

 
Almaarufu wanaitwa kantangaze hao,tumia profecron mkuu,kuwa makini na maelekezo utakayopewa/utakayosoma namna ya uchanganyaji, hii dawa ukizidisha kipimo itakutia hasara kwani dawa hii ni kali mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…