Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyoa para tu hamna dawa.Mimi ndevu bado hazijaanza kuota mkuu.
Best solution ni kunyoa uparasolution hapo ni kupandikiza nywele tu, hizo nyingine mimi pia sina uhakika kama zinafanya kazi.
Hatari mkuu vitoto vinakwambia eeh wewe ni babu umezeeka ona mvi[emoji23][emoji23] wanasema umezeeka ghafla ??.
Kama bado napenda kuwa na nywele ??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Best solution ni kunyoa upara
ulizia baba yako sahihi mkuu, huo ukoo si wa kwako😝😝 jokesHabari wakuu
Mdogo wenu hapa nimekuja nahitaji msaada wenu, nimeanza kuota kiwalaza na hii inanipa stress sana ukizingatia na umri pia bado hauni ruhusu kumiliki vitu vya ajabu ajabu.
Najaribu kujiuliza kwanini kimeniota haraka haraka namna hii ukizingatia pia hatuna historia ya viwalaza kwenye familia yetu, mzee wangu yupo kwenye 60s na ana nywele zote timilifu.
Bro wangu mkubwa yupo early 30s na yeye hana kiwalaza, sasa najiuliza nimekipata wapi na ndio kwanza nimetimiza miaka 20 juzi hapo ??.
Yani upande wa mbele wa kichwa changu nywele zimeacha kuota pembeni mwa komwe ( receding hairline) na pia nyuma kidogo ya kichwa nywele zimeacha pia kuota.
Wakuu sikuwahi kujua kama hii kitu Ina stress namna hii, na ninavyopenda kunyoa viduku basi daah!
Mafutaa ya mnyonyoo.Habari wakuu
Mdogo wenu hapa nimekuja nahitaji msaada wenu, nimeanza kuota kiwalaza na hii inanipa stress sana ukizingatia na umri pia bado hauni ruhusu kumiliki vitu vya ajabu ajabu.
Najaribu kujiuliza kwanini kimeniota haraka haraka namna hii ukizingatia pia hatuna historia ya viwalaza kwenye familia yetu, mzee wangu yupo kwenye 60s na ana nywele zote timilifu.
Bro wangu mkubwa yupo early 30s na yeye hana kiwalaza, sasa najiuliza nimekipata wapi na ndio kwanza nimetimiza miaka 20 juzi hapo ??.
Yani upande wa mbele wa kichwa changu nywele zimeacha kuota pembeni mwa komwe ( receding hairline) na pia nyuma kidogo ya kichwa nywele zimeacha pia kuota.
Wakuu sikuwahi kujua kama hii kitu Ina stress namna hii, na ninavyopenda kunyoa viduku basi daah!
Vipi babu yako upande wa mama alikuwa na uwalaza ?Habari wakuu
Mdogo wenu hapa nimekuja nahitaji msaada wenu, nimeanza kuota kiwalaza na hii inanipa stress sana ukizingatia na umri pia bado hauni ruhusu kumiliki vitu vya ajabu ajabu.
Najaribu kujiuliza kwanini kimeniota haraka haraka namna hii ukizingatia pia hatuna historia ya viwalaza kwenye familia yetu, mzee wangu yupo kwenye 60s na ana nywele zote timilifu.
Bro wangu mkubwa yupo early 30s na yeye hana kiwalaza, sasa najiuliza nimekipata wapi na ndio kwanza nimetimiza miaka 20 juzi hapo ??.
Yani upande wa mbele wa kichwa changu nywele zimeacha kuota pembeni mwa komwe ( receding hairline) na pia nyuma kidogo ya kichwa nywele zimeacha pia kuota.
Wakuu sikuwahi kujua kama hii kitu Ina stress namna hii, na ninavyopenda kunyoa viduku basi daah!
Inakuwaje hhiisolution hapo ni kupandikiza nywele tu, hizo nyingine mimi pia sina uhakika kama zinafanya kazi.
Haya mafuta yanaotesha upara wa urithiPaka mafuta ya mnyonyo zisipoota ujue we ni mzee mwezangu
Sijui ila niliambiwa huwa yanaotesha nywele na kuna jamaa yangu aliwahi kuyatumia zikaotaHaya mafuta yanaotesha upara wa urithi