Msaada wa namna ya kuondoa kiwalaza

Mi nilipata kipara nikiwa na umri wako sema mashaallah nimejaliwa ndevu nyeusiii watu hudhani nimezitia dawa.So kwangu ni faida mzuri.
Mimi ndevu bado hazijaanza kuota mkuu.
 
Hakuna kitu kama hiki mkuu

Unadhani Rooney alishindwa kutumia hizo mambo?
Halafu mbona bei zake cheap sana
solution hapo ni kupandikiza nywele tu, hizo nyingine mimi pia sina uhakika kama zinafanya kazi.
 
Pole sana jikubali tu huku ukiendelea kujitahidi kutatua hiyo changamoto.
 
ulizia baba yako sahihi mkuu, huo ukoo si wa kwako😝😝 jokes
utaishia kuibiwa tu mkuuu hakuna dawa
 
Mafutaa ya mnyonyoo.
 
Vipi babu yako upande wa mama alikuwa na uwalaza ?
 
Mi mwenyewe ninacho Kiwalaza ila naendelea na kunyoa kipara tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…