Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
Brother unaijua visa lakini ni kitu gani?Wanajukwaa habarini za wakati huu.
Poleni kwa majukumu.
Nilikuwa naomba msaada wa namna ya kupata visa/hati ya kusafiria ya hapa kwetu Tanzania.
Nataka niende ughaibuni (taifa X huko America kaskazini) nikajitafte kidogo na huko maana bongo land kwetu wanga wamekuwa wengi (natania π )
Naamini humu kuna wajuzi wa haya mambo, hivyo naomba msaada huo katika namna hii π
1.Ni vigezo vipi natakiwa kuwa navyo ili nipewe hiyo VISA.
2.Gharama ya kuipata hiyo visa (kwa pesa za kitanzania).
3.Itaweza kuchukua muda gani (kwa kukadiria) tangu niombe ndiyo niipate.
4.Naanzia wapi (natakiwa kwenda ofisi zipi/wizara gani) ili niombe hiyo Visa.
Karibuni wajuzi.
Vipo vitu viwili hapa,hati ya kusafiria na Visa.Hati ya kusafiria au kwa jina lililozoewa pasipoti,hii unahitaji kuwa nayo kwanza kabla ya kuomba visa,ambayo ni hati inayokuruhusu kwenda kule unakotarajia,ambayo pia huambatanishwa na hati yako ya kusafiria yani pasipoti.visa ni kibali cha ukazi wa muda fulani,kwa sababu inayokupeleka uendako.Mfano nini kina kupeleka huko,je unao mwaliko wa kwenda unaotaka,ama sababu gani nyingine.bila shaka pia inabeba taarifa zako muhimu sawa na zilizomo kwanye hati ya kusafiria.Visa huombwa na kutolewa na ubalozi wa unaotarajia kwenda.Muda hutegemea ukamilifu wa taarifa zako nauwepo wa ubalozi karibu au nchini mwako.Pia unyoofu wa sababu za kusafiri.Wanajukwaa habarini za wakati huu.
Poleni kwa majukumu.
Nilikuwa naomba msaada wa namna ya kupata visa/hati ya kusafiria ya hapa kwetu Tanzania.
Nataka niende ughaibuni (taifa X huko America kaskazini) nikajitafte kidogo na huko maana bongo land kwetu wanga wamekuwa wengi (natania π )
Naamini humu kuna wajuzi wa haya mambo, hivyo naomba msaada huo katika namna hii π
1.Ni vigezo vipi natakiwa kuwa navyo ili nipewe hiyo VISA.
2.Gharama ya kuipata hiyo visa (kwa pesa za kitanzania).
3.Itaweza kuchukua muda gani (kwa kukadiria) tangu niombe ndiyo niipate.
4.Naanzia wapi (natakiwa kwenda ofisi zipi/wizara gani) ili niombe hiyo Visa.
Karibuni wajuzi.
Dude, what is nation X?. Please you should have told us which country do you want go then peeps here whom have experience about that country will give you full details how to get visa with easiness.Nataka niende ughaibuni (taifa X huko America kaskazini) nikajitafte kidogo na huko maana bongo land kwetu wanga wamekuwa wengi (natania π )
Duuh...ebu kwanza kabla sijakkuliza zaidi nataomba kujua kwamba "visa na passpprt/hati ya kusafiria ni vitu viwili tofauti ?"Brother unaijua visa lakini ni kitu gani?
Unataka visa ya kwenda ulaya nchi gani maana taratibu hazifanani 100% sema unakotaka kwenda upewe mwongozo
1: Mfano watahitaji bank statement waone transaction zako na uwezo wako kiuchumi usije ukaenda kwao ukazamia kama omba omba
2:mwaliko kutoka kwa mkazi/ mwwnyeji wa nchi husika, sometime mwaliko au booking ya hotel unayokwenda
3: ticket ya go and rerurn
4: wengine wanaenda mbali wanataka uwe na kiasi fulani cha pesa bila kusahau hawataki record za uhalifu na last thing ni afya ukiwa mgonjwa wa magonjwa ya kuambukiza huend
Let the country remain X, but I have already mentioned the continent that is found in NORTH AMERICADude, what is nation X?. Please you should have told us which country do you want go then peeps here whom have experience about that country will give you full details how to get visa with easiness.
Nimeekuelewa kwa asilimia 80 hivi mkuu.Vipo vitu viwili hapa,hati ya kusafiria na Visa.Hati ya kusafiria au kwa jina lililozoewa pasipoti,hii unahitaji kuwa nayo kwanza kabla ya kuomba visa,ambayo ni hati inayokuruhusu kwenda kule unakotarajia,ambayo pia huambatanishwa na hati yako ya kusafiria yani pasipoti.visa ni kibali cha ukazi wa muda fulani,kwa sababu inayokupeleka uendako.Mfano nini kina kupeleka huko,je unao mwaliko wa kwenda unaotaka,ama sababu gani nyingine.bila shaka pia inabeba taarifa zako muhimu sawa na zilizomo kwanye hati ya kusafiria.Visa huombwa na kutolewa na ubalozi wa unaotarajia kwenda.Muda hutegemea ukamilifu wa taarifa zako nauwepo wa ubalozi karibu au nchini mwako.Pia unyoofu wa sababu za kusafiri.