Kuna kitu wanatumia kufanya maziwa yawe mtindi hao wa viwandani,kwanza wanayatreat kwenye joto Kali,pili wanaweka "kimea" hiki ndo chanzo Cha mtindi mzuri..ndo mana watu wengi hapo wamekupa njia ya kienyeji ni kuchanganya na mtindi wa dukani kiaogo ndipo utafanikisha,ni sababu hayo ya dukani yaliekwa hiko kimea ndo kinafanikisha mgandisho.
Pia baada ya kimea Kuna kingine kinaitwa stabilizer
Kinabalansi maji kwenye mtindi,mtindi unakuwa vile una muonekano mzuri hata ukisimama mda mrefu maji hayajitengi Kwa juu.
Hii pia wanawekaga kwenye peanut butter mafuta yasijitenge Kwa juu..na vingine vingi.
Kama unaweza kwendaaduka ya preservatives ukawatajia hivo vitu wakakufundisha namna ya kutumia.utatengenza hata ndio nzima na yatadumu hata mwezi