Sehemu ya 2
Hata hivyo sikuvuta sana niliamua kwenda zangu baharini na kutulia hapo, griiiiii ni mama anapiga
Mama: Haloo upo wapi?
Mimi: Nipo beach mama
Mama: Ukija utakuta ufunguo kwenye jiwe mimi nasepa sehemu narudi kesho
Mimi: Sawa
Hahhaha leo mbuzi kaachiwa, nilisema hivyo kwakua nilitaka nisambaeeee sana hapo nikicheki huku na huku
Habariiii, Nilisikia sauti nyororo ya kike huku akikaa karibu yangu
Poa, Nilijibu
Mbona umepooza nilikuona tangu kitambo,
Nipo tu, Nilijibu
unaitwa nani,
Thaibu, nilijibu
Unasimu?
Mimi: Sinaaaa
sasa wewe kijna mzuri kabisa unakosa simu?
Mimi: Ndio simu sina ila ninamawasiliano
hahahahahahahahh ndio hayo ulioshika?
Mimi: eee ndio
Twende ukachukue simu ninayo nimeacha nyumani kwani siwezi kutumia simu mbili
Mimi: sawa
Kweli nilimfuata kwa nyuma nisijue tunakwenda wapi, sifa ya mwanamke huyu ni kuwa alikuwa mrefu kiasi, mwili wa wastani, trakkkk kdg na maziwa ya wastani ila kwa muonekano alikuwa namba B yani umri umesogea kidogo,
Baada ya miguu kadhaaa tulitokea parking ambapo toyota juke ilipaki mwanzoni, aliingia na kuniambia twende unaogopa?
Mimi: Hapana, huku nikifungua mlango na kuketi ndani ya gari, tunakwenda wapi?
Tunakwenda nyumbani Osterbay
Mimi: sawa
Kimya kilitawala kwa muda fulani kisha akasema unaumro gani?
Mimi:12 years
Elimu yako?
Mimi: Nimefeli darasa la saba
Mbona umemaliza shule mdogo sana?
Mimi: Ndio
Nataka kuishi na wewe maana unaonekana unakili sana
Mimi: Mama yangu amenitupa sana, na kisa cha kufeli shule ni kwa sababu baadhi ya siku za mitihani sikuwepo mama alinitaka niende mahali ambapo alifanyia biashara
Nimekumbuka jambo...
Mimi: Jambo gani?
Kwanini huku niamkia
Mimi: Shikamooo nilisahau kidogo (ila kiukweli haukuwa tabia yangu kwani story za vijiwe vilinifaya kuona wanawake kama sehemu ya starehe)
Markhaba tumefika
waooo ni bonge la jumba alifungua mlango na kutaka niingie ndani, niliketi kwenye kochi nikisubiri nini kitafuata, alikuja na simu nisijue ni aina gani ila ilionekana brand new sana, haya hii simu nakupa ila inalaini tayari hivyo wewe hamisha majina yako tu
Mimi: Hapana mimi ninayo laini
Ok basi weka, ila mimi nitakutafuta kwenye laini yangu hii tu only for emergency nitatumia laini yako
Mimi: Sawa
Nenda ukaoge, taulo na kila kitu kipo huko bafuni mlango ule pale ndani
Mimi: Aaa sina jasho sana nielekeze njia niende nyumbani,
Watoto wazuri sio wabishi Aya nenda
Nilinyanyuka mguu mosi mguu pili mpaka kwenye chumba, chumba kilikuwa kizuri sana kitanda kikubwa, mashuka meupe, kabati na tv nilizama moja kwa moja mpaka bafuni na kuvua nguo zangu, nikaoga vizuri kisha nikajifuta na kuvaa tena nguo zangu
ila natoka tu bafuni Namwona yule dada kaka kitandani, nikajiwazia kwaiyo ningevulia nguo hapa angenichungulia mdudu wangu
Alisema chukua hii perfume, alafu ulisema unaishi na mama yako nipe niongee naye ili nikurudishe kesho wakati naenda kazini, sikupinga jambo lile sababu nilitaka nilale kwenye jumba na kifahari sana, nikampatia simu ikiwa napiga simu ya mama yangu lakini kila ikipigwa ni namba unayopiga haipatikani
Mhhh huyu mama yako hatari haya panda tulale,
kwani hiki ni chumba chako? Niliuliza
Hapana ninakupa kampani tu mgeni, huku akitabasamu
Aliiwasha tv tukicheki tom and Jerry no stress tukicheka, nilisahau kabisa mambo ambayo baba yangu aliniambia kuhusu mimi
Prince amka, ilikua sauti ya yule dada, cha kwanza nilitazama tv nikakuta imezimwa,
Ni ahsubuh chukua mswaki dawa ipo bafuni uende uoge unywe chai tuondoke
Shikamooo, Marakhaba prince, nilinyanyuka nikajisafisha kwa kuoga na kuswaki kisha nikajifuta maji na kurudi chumbani
twende nilisikia sauti ya mwanamke mwingine ambaye alionekana mfanya kazi tu kwa muonekano wake
Nilimfuata nyuma nyuma mpaka sitting room, nikapewa kikombe cha chai ya maziwa, mikate yenye jam ya chocolate na two boiled eggs
Nikaigonga chap kisha nikamuona dada akija na kusema tayri twende
tukapakiana kwenye usafiri wake kuelekea nyumbani nilimwambia ninapokaa na kusema aliwahi kufika mara mbili na hiyo nyumba anaijua
Mimi: ohhh kumbe je ungependa nikuite nani? hukuniambia jina lako,
Niite princess shani jina langu ni shani ila princess itapendeza
Mimi: aaaa princess alafu mzuri kama jina lako
princess: (alinikata jicho la kucheka, kushanganzwa na kupenda) kwani hakuamini kama ningesema hivyo
Mimi: Nilitingisha kichwa chini juu kuonesha kuwa yes ni kweli
Princess: Ahsante mwana mfalme wangu
Mimi: sawa
Tulifika nyumbani na nilimkuta mama akisimama getini akitizama huko na huko kama mtu mwenye wasiwasi tu wa kawaida
Thaibu kenge wewe ulikuwa wapi nimerudi nimerudi ahsubuh alafu inaonekana hukuwepo na chakula hukula
Mimi: samahani mama
Princess: shikamoo
Mama: Marakhaba
Princess: Nilikuwa naye mimi jana tulikupigia haukupatikana
Mama: Mlikuaa wapi?
Princess: Nyumbani kwangu, kama hutajali twende ndani tuongee mama yangu
Mama: Karibu sana
Princess: Mama mimi naomba nikae na mwanao nimpe elimu na kila kitu
Mama: Unashingapi???
Mimi: Mama unaniuza kwanini?
Mama: wewe siunajifanya mjanja sana ulikwenda kuongea na baba yako, alikwambia kuwa tulikuokota mimi nilishauharibu uzazi wangu kwa kutoa mimba kudanga ndio kunakulisha nimekuchoka sawa
Princess: Sio maneno mazuri kumwambi mtoto
Hapo machozi yalinitoka nisijue kwanini yananipita mama yangu kumbe nae ndio adui ananisema hivi
Mama:Eeee ndio hivyo kila siku anakula tu bure mpaka hapo alipo shukuru tu, nimechoka kulea yai na bao la wengine ambao hata kukulea wangeshindwa
Princess: Kwani ulimtoa wapi?
Mama: Miaka 11 nyuma nilikuwa na mahusiano na huyo anayedhani baba yake, siku moja baada ya baba huyo kugundua kuwa nimetoa mimba mara nyingi kwenye maisha yangu na nisingeweza kubeba mimba alinitukana sana na kuniita malaya
jioni yake bwana huyo alisema twende nikurudishe kwenu siwezi ishi na ww usiniletee nuksi mimi, nilikubali kwa moyo wote ila nyumbani walileta upingamizi sana hivyo tulirudi wote nyumbani na huyo mzee
baada ya siku kadhaa dada yake na huyo baba aliumwa sana hivyo tulienda wote kumwona lakini mungu alimpenda zaidi, siku ya mazishi yake wakati nimekaa na huyo bwana alikuja mama mmoja hivi na kunipa mtoto akisema nimshikie, kweli nilikubali moyo mmoja kwani ni kwa muda tu, tulikaa sana mama yule hakurejea hata ikabidi baba huyo atafute utaratibu wa kumtafuta baada ya kama simu mbili tulikuta mama yule kajinyonga na tusijue wapi kwa kupata ndugu zake kwani alikuwa mtu aliyepewa tu hifadhi kijijini hapo
jukumu la kulea hiki kiumbe kilikua yetu (kiumbe akimaanisha mimi) na mda kidogo tulitalakiana na yule bwana na alimkana mtoto kwenye matumizi yote, niliangaika ale ashibe iliakifika umri fani asepe kivyake ila toto lenyewe ndo hili huenda pesa nilizomlisha ningejenga hata heshima baa
kusema ukweli yale maneno yaliniuma sana sana kwani sikutegemea kuwa mama yangu angenichukulia hivi hata kwa dakuka moja
Mama: kwaiyo utanilipa sh ngap nikuachie uishi naye?
Princess: Akionekanakusononeka sana akasema 1M ila twende ustawi wa jamii tuandikishiane kbisa kwa kunikabidhi huyu kijana
KWELI baada ya muda kidogo tulitoka mimi na mama na princess mpaka ustawi waliandikishiana na mimi nililidhia kuondoka kwani nilishajenga chuki kubwa sana na mama na nilisema sitamtafuta yeye wala baba, nilimkabudhi laini yake na kufuta kila namba na tuliondoka na princess
tulienda shopping ya nguo nyingi na baadhi ya vitu pia alininunulia Mp4 memory card ambayo nilimuomba aninunulie
tofauti na jana siku hiyo wala sikuwa na furaha sana, hivyo tu ilibidi nioneshe meno kwa mdhamini tu
ITAENDELEA