Wanapata mkuu.
Week chache zilizopita staff wa TCU walipita Ruvu JKT na kutoa shule jinsi ya kufanya udahili.
Pia staff wa CRDB nao pia walipita pale kambini na kufungua accounts za benki kwa vijana.
Enzi zetu kule Oljoro na Makuyuni kulikuwa hakuna vitu kama hivi!