Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Wanapata mkuu.
Week chache zilizopita staff wa TCU walipita Ruvu JKT na kutoa shule jinsi ya kufanya udahili.
Pia staff wa CRDB nao pia walipita pale kambini na kufungua accounts za benki kwa vijana.
Enzi zetu kule Oljoro na Makuyuni kulikuwa hakuna vitu kama hivi!
Ruvu watoto wa mjini kaka mwaka wetu vyuo vingi walileta watu wao kuja kutoa elimu! Nlikuwa hapo mkatulimisha sana kule shadid