Msaada wa rehabilitation centre (rehab) inayopatikana Boma Ng'ombe Karibu na KIA, Kilimanjaro

Msaada wa rehabilitation centre (rehab) inayopatikana Boma Ng'ombe Karibu na KIA, Kilimanjaro

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi?

Matumaini yangu wote mu bukheri wa afya na mnaendelea vema na pilka pilka za kila siku.

Naombeni msaada kwa yoyote anayejua rehabilitation centre (rehab) ambayo inapatikana Boma ya Ng'ombe Karibu na Kia kilimanjaro.

Please Wadau naomba maelekezo kwa yoyote anayeijuwa inapatikana hapo Boma ya Ng'ombe.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.

Chaliifrancisco Bushmamy tweenty4seven Darmian King Kong III
 
Kwani lazima iwe bomang'ombe. Kuna ambayo ipo mailisita kabla ya kibosho road
 
Inakuwaje wanajamvi?

Matumaini yangu wote mu bukheri wa afya na mnaendelea vema na pilka pilka za kila siku.

Naombeni msaada kwa yoyote anayejua rehabilitation centre (rehab) ambayo inapatikana Boma ya Ng'ombe Karibu na Kia kilimanjaro.

Please Wadau naomba maelekezo kwa yoyote anayeijuwa inapatikana hapo Boma ya Ng'ombe.

Natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa.

Chaliifrancisco Bushmamy tweenty4seven Darmian King Kong III

Mtafute Fanani wa HBC Facebook atakupa Muongozo wa rehab zilizopo Boma Ng'ombe.
 
mi naifahamu iliyopo maili sita tena ipo barabarani,nauli toka boma hadi hapo hata elf moja haifiki.
 

Attachments

  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 5
Boss,Kuna moja inaitwa soba house,ukifika boma ng'ombe stand unachukua bajaji,unamwambia nipeleke soba house
 
Back
Top Bottom