Msaada wa sehemu ya kujitolea Nursery school au Daycare niweze kupata recommendation letter yaku apply Viza Ujerumani

Msaada wa sehemu ya kujitolea Nursery school au Daycare niweze kupata recommendation letter yaku apply Viza Ujerumani

Joined
Jul 2, 2024
Posts
7
Reaction score
3
Wakuu salaam,

Awali ya yote nawashukuru wana Jamii forums wote kwa michango yenu na mawazo yenu yakinifu yanayo toa elimu, ushauri na msaada mkubwa sana kwa jamii.

Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Dar es salaam. Elimu yangu ni kidato cha sita (High school). Baada ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita niliamua kujifunza lugha ya kijerumani nikiwa na malengo ya kwenda ughaibuni hasa nchini Ujerumani kutafuta fursa za kazi pia kujiendeleza kimasomo.

Baada ya kujifunza lugha ya kijerumani na kufanya research ya kina ya aina gani ya viza naweza kuomba kulingana na elimu yangu na umri wangu, Nime plan na nina mpango wa kuomba viza ya
"AU-PAIR" nchini Ujerumani.

AU-PAIR
ni viza ambayo inamwezesha kijana yeyote mwenye umri kati ya miaka 18-26 kwenda nchini Ujerumani kwa mwaka mmoja kufanya kazi na familia(Host family), Kulea watoto na kufanya shughuli zingine na familia husika huku akijifunza lugha ya kijerumani zaidi na kupatiwa malipo ya kujikimu.

Kisha baada ya mwaka mmoja kuisha unaweza ku extend viza yako kwaku apply university au voluntary social works zingine na kuendelea kusalia Ujerumani.

Nakuja mbele yenu wakuu, Kuomba msaada wa sehemu ya kujitolea kwenye Nursery school au Daycare ili niweze kupata "Referees na Recommendation letter" itakayo nisaidia ubalozini kuthibitisha kwamba nimefanya kazi ya kujitolea na nina uzoefu wa kulea na kukaa na watoto nchini kwangu.

Kwa sasa napatikana
Dar es salaam- Kimara. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya kujitolea angalau kwa miezi 2 kwenye Nursery schools au Daycare yeyote hapa Dar es salaam.

Nahitaji msaada wenu wakuu, Kwa yeyote mwenye Nursery school au Daycare au ana connection na wahusika wanaoweza kunisaidia nikajitolea kisha wakaniandikia recommendation letter, Anisaidie🤲

Mtaani bongo pamoto sana wakuu.😔

Kwa yeyote mwenye experience na aina hii ya viza ya
AU-PAIR naomba maoni yako na ushauri.

PM yangu iko wazi wakuu

Nawasilisha kwenu, Naombeni msaada wenu.
 
Wakuu salaam,

Awali ya yote nawashukuru wana Jamii forums wote kwa michango yenu na mawazo yenu yakinifu yanayo toa elimu, ushauri na msaada mkubwa sana kwa jamii.

Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Dar es salaam. Elimu yangu ni kidato cha sita (High school). Baada ya kuhitimu elimu ya kidato cha sita niliamua kujifunza lugha ya kijerumani nikiwa na malengo ya kwenda ughaibuni hasa nchini Ujerumani kutafuta fursa za kazi pia kujiendeleza kimasomo.

Baada ya kujifunza lugha ya kijerumani na kufanya research ya kina ya aina gani ya viza naweza kuomba kulingana na elimu yangu na umri wangu, Nime plan na nina mpango wa kuomba viza ya
"AU-PAIR" nchini Ujerumani.

AU-PAIR
ni viza ambayo inamwezesha kijana yeyote mwenye umri kati ya miaka 18-26 kwenda nchini Ujerumani kwa mwaka mmoja kufanya kazi na familia(Host family), Kulea watoto na kufanya shughuli zingine na familia husika huku akijifunza lugha ya kijerumani zaidi na kupatiwa malipo ya kujikimu.

Kisha baada ya mwaka mmoja kuisha unaweza ku extend viza yako kwaku apply university au voluntary social works zingine na kuendelea kusalia Ujerumani.

Nakuja mbeleni yenu wakuu, Kuomba msaada wa sehemu ya kujitolea kwenye Nursery school au Daycare ili niweze kupata "Referees na Recommendation letter" itakayo nisaidia ubalozini kuthibitisha kwamba nimefanya kazi ya kujitolea na nina uzoefu wa kulea na kukaa na watoto nchini kwangu.

Kwa sasa napatikana
Dar es salaam- Kimara. Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya kujitolea angalau kwa miezi 2 kwenye Nursery schools au Daycare yeyote hapa Dar es salaam.

Nahitaji msaada wenu wakuu, Kwa yeyote mwenye Nursery school au Daycare au ana connection na wahusika wanaoweza kunisaidia nikajitolea kisha wakaniandikia recommendation letter, Anisaidie🤲

Mtaani bongo pamoto sana wakuu.😔

Kwa yeyote mwenye experience na aina hii ya viza ya
AU-PAIR naomba maoni yako na ushauri.

PM yangu iko wazi wakuu

Nawasilisha kwenu, Naombeni msaada wenu.
Safi sana, tafuta Nursery ya kujitolea yenye walau hadhi fulani, ukiongea na mtawala hawezi kukunyima fursa ya kuwa volunteer.

Hiyo viza naifahamu umefuata process vizuri na utatobowa kwa sababu lugha ya kijerumani ndio kipaumbele cha kwanza.

Wazungu siyo kama hawataki wahamiaji kwao bali wanataka watu smart kama hivi ufuate taratibu zao hawataki ujanjaujanja.
 
Uwe makini wasije kukutafuna makalio huko
 
Pili ubalozo wa Germany wana scholarship nyingi sana pitia pale ucheki. Unaweza kwenda undergraduate moja kwa moja.

Wakati nyanza chuo nilifika pale kuomba scholarship, zilikuwepo za kutosha mzee akagoma nisiende ujerumani kwa sababu zake. Jaribu kuangalia scholarship kwanza, kazi ya kumfuta makalio mavi wazee wa kijerumani sio ndogo. Diet yao iko heavy weighted

Mungu akufanyie wepesi
 
Pili ubalozo wa Germany wana scholarship nyingi sana pitia pale ucheki. Unaweza kwenda undergraduate moja kwa moja.

Wakati nyanza chuo nilifika pale kuomba scholarship, zilikuwepo za kutosha mzee akagoma nisiende ujerumani kwa sababu zake. Jaribu kuangalia scholarship kwanza, kazi ya kumfuta makalio mavi wazee wa kijerumani sio ndogo. Diet yao iko heavy weighted

Mungu akufanyie wepesi
Usimtowe mwenzako kwenye reli, Au pair imekaa vizuri sana, aliyekwambia anakwenda kumfuta mtu mavi nani? Umekariri ujinga wa Wabongo walioferi na wasiokuwa na uwezo wa kutimba kiwanja.

Hizo scholarship kwa degree ya kwanza ni pasua kichwa tu, masters na PhD ndio kitonga.
 
Safi sana, tafuta Nursery ya kujitolea yenye walau hadhi fulani, ukiongea na mtawala hawezi kukunyima fursa ya kuwa volunteer.

Hiyo viza naifahamu umefuata process vizuri na utatobowa kwa sababu lugha ya kijerumani ndio kipaumbele cha kwanza.

Wazungu siyo kama hawataki wahamiaji kwao bali wanataka watu smart kama hivi ufuate taratibu zao hawataki ujanjaujanja.
Asante sana mkuu kwa ushauri wako.

Nimejaribu kupita pita kwenye hizi Nursery na daycare za mtaani kuwashirikisha ombi langu wengi naona sio waelewa na hawana utayari wa kunisaidia.

Lakini sitakata tamaa mkuu nitaendelea kujaribu jaribu kuomba.
 
Pili ubalozo wa Germany wana scholarship nyingi sana pitia pale ucheki. Unaweza kwenda undergraduate moja kwa moja.

Wakati nyanza chuo nilifika pale kuomba scholarship, zilikuwepo za kutosha mzee akagoma nisiende ujerumani kwa sababu zake. Jaribu kuangalia scholarship kwanza, kazi ya kumfuta makalio mavi wazee wa kijerumani sio ndogo. Diet yao iko heavy weighted

Mungu akufanyie wepesi
Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.

Mkuu kwa level ya kwenda kusoma undergraduate wanahitaji uwe umesoma lugha ya kijerumani kwa level inayoitwa B2 pia requirements na vigezo vyake ni vingi sana ambavyo binafsi sitaviweza.
Maana wanahitaji pia uwe na blocked account yenye fedha za kutosha kukuhudumia uendapo Ujerumani.

Kwangu mimi naona hii viza ya
AU-PAIR inafaa kama kianzio
(starting point) kisha nikifanikiwa kufika huko nitajiendeleza zaidi kimasomo na kikazi.
 
Asante sana mkuu kwa ushauri wako.

Nimejaribu kupita pita kwenye hizi Nursery na daycare za mtaani kuwashirikisha ombi langu wengi naona sio waelewa na hawana utayari wa kunisaidia.

Lakini sitakata tamaa mkuu nitaendelea kujaribu jaribu kuomba.
Jaribu kucheck makanisa makubwa huwa hawakosi hizo Nursery school, ongea direct na Paroko atakusaidia.
 
Asante sana mkuu kwa ushauri wako.

Nimejaribu kupita pita kwenye hizi Nursery na daycare za mtaani kuwashirikisha ombi langu wengi naona sio waelewa na hawana utayari wa kunisaidia.

Lakini sitakata tamaa mkuu nitaendelea kujaribu jaribu kuomba.
Njoo PM kuna mama nataka nikupe namba yake nadhani daycare yake pia ipo hukohuko Kimara. Ni mama mzungu wa roho. Ukimpigia ukaongea naye nina uhakika atakuelewa 100%
 
Usimtowe mwenzako kwenye reli, Au pair imekaa vizuri sana, aliyekwambia anakwenda kumfuta mtu mavi nani? Umekariri ujinga wa Wabongo walioferi na wasiokuwa na uwezo wa kutimba kiwanja.

Hizo scholarship kwa degree ya kwanza ni pasua kichwa tu, masters na PhD ndio kitonga.
We share thoughts entirely kwa kila ulilolieza kwenye huu uzi 👇🏾
-Scholarship Degree za kwanza ni pasua kichwa ni kweli✅️
- Umri wake mdogo asifuate shortcut kama alivyoshauriwa na mdau mwingine✅️
 
Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.

Mkuu kwa level ya kwenda kusoma undergraduate wanahitaji uwe umesoma lugha ya kijerumani kwa level inayoitwa B2 pia requirements na vigezo vyake ni vingi sana ambavyo binafsi sitaviweza.
Maana wanahitaji pia uwe na blocked account yenye fedha za kutosha kukuhudumia uendapo Ujerumani.

Kwangu mimi naona hii viza ya
AU-PAIR inafaa kama kianzio
(starting point) kisha nikifanikiwa kufika huko nitajiendeleza zaidi kimasomo na kikazi.
Google nursery school in Dar utapata link zao jaribu utakayoona inakufaa.

Ukiomba sehemu 10 huwezi kukosa sehemu moja watakuchukuwa hili nakuhakikishia, bínadamu hatufanani kuna watu wana moyo wa kusaidia na kuona mtu anatimiza ndoto zake.

Kuna Montfort brothers wana Nursery mpaka high school nitakuombea kwa Brother mmoja nafahamiana naye.
 
Nashukuru sana kwa mchango wako mkuu.

Mkuu kwa level ya kwenda kusoma undergraduate wanahitaji uwe umesoma lugha ya kijerumani kwa level inayoitwa B2 pia requirements na vigezo vyake ni vingi sana ambavyo binafsi sitaviweza.
Maana wanahitaji pia uwe na blocked account yenye fedha za kutosha kukuhudumia uendapo Ujerumani.

Kwangu mimi naona hii viza ya
AU-PAIR inafaa kama kianzio
(starting point) kisha nikifanikiwa kufika huko nitajiendeleza zaidi kimasomo na kikazi.
Ubalozini walikwambia hivi? Kwa sababu najua kina nchi kama Russia, unatakiwa kusoma lugha yao for a year before continuing with undergraduate.

Ni miaka zaidi ya 15, inawezekana mambo yamebadilika.

Ila ukifika ubalozoni wana option nyingi sana wewe tu
 
Usimtowe mwenzako kwenye reli, Au pair imekaa vizuri sana, aliyekwambia anakwenda kumfuta mtu mavi nani? Umekariri ujinga wa Wabongo walioferi na wasiokuwa na uwezo wa kutimba kiwanja.

Hizo scholarship kwa degree ya kwanza ni pasua kichwa tu, masters na PhD ndio kitonga.
Ahaha sawa.
Miaka ile na sasa ni tofauti, nilibahatika kupata scholarship bahati mbaya sikwenda
.hivyo naelewa process kiasi chake
 
Back
Top Bottom