t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Nawasubiri team rusia pengine wana namna ya kufanya kuzuia upungufu wa dolaUSA USA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawasubiri team rusia pengine wana namna ya kufanya kuzuia upungufu wa dolaUSA USA
iko mbali sana. Sasa hivi inasoma $2550. Hutaki unaachaTumefika huku kweli??
Acheni story za vijiweni exchange bado zinafanyijmka wazeeDola zipo hata bank dola zipo tatizo ni hakuna ruhusa kuuza
Zinafanyikia wapi nielekeze niende kesho maana leo nimejua kuzunguza kwenye mabank kama chizi hakuna kitu.Kesho tena ntaamkia kwenye bureau exchanges nione kama ntabahatisha.Acheni story za vijiweni exchange bado zinafanyijmka wazee
Wengi mnaandika hapa hata hizo dollar hamna kazi nazo
Nenda benki ambayo Una account yako huko. Waambie unataka kufanya malipo.Zinafanyikia wapi nielekeze niende kesho maana leo nimejua kuzunguza kwenye mabank kama chizi hakuna kitu.Kesho tena ntaamkia kwenye bureau exchanges nione kama ntabahatisha.
Nimeenda CRDB hakuna kitu.Nenda benki ambayo Una account yako huko. Waambie unataka kufanya malipo.
Yeye muamerika atakua na hali mbaya zaidi kuanzia October/November na kuendelea. Mark this message MkuuSi mlisema mchina na yuan yake itasaidia au mrusi na rubo yake itainua uchumi....
Haya pambaneni na hali zenu mwenye dunia yake anajaribu kuwaonesha kwamba bila yeye hamtoboi..
Hahaaaa! Siku izi wako kimyaaa walifikir viongozi wa USA wana thinking za level ya kibajaji na msukumaNawasubiri team rusia pengine wana namna ya kufanya kuzuia upungufu wa dola
HahahaYeye muamerika atakua na hali mbaya zaidi kuanzia October/November na kuendelea. Mark this message Mkuu
Isije ukawa afisa usalama wewe,unatuchora tuKwani lazima ununue uwe na cash ndiyo utume? Kama una account ya Tsh nenda kwenye hiyo bank watume kwa TT.
Kumbe ndo hivyoSi mlisema mchina na yuan yake itasaidia au mrusi na rubo yake itainua uchumi....
Haya pambaneni na hali zenu mwenye dunia yake anajaribu kuwaonesha kwamba bila yeye hamtoboi..
Yaan Usa kabana kidogo tu , dunia inahangaika na uhaba wa dola ! Kuna nchi Africa zinashindwa hadi kuagiza mafutaHahaaaa! Siku izi wako kimyaaa walifikir viongozi wa USA wana thinking za level ya kibajaji na msukuma
Sasa mzunguko wote wa kufungua akaunti ya dola wa nini?Ngoja nikusanue kamanda, nenda bank yoyote ya kimataifa hasa, mi napendelea Equity ndio wako fair kiasi kisha fuata malekezo haya;
1. Fungua account mbili, moja ya USD nyingine ya TZS ( kama hauna account kwenye bank husika)
2. Tia mzigo wa kutosha kwenye account ya TZS kiasi ambacho kitatosha mahitaji yako ya dollars.
3. Omba kufanya transfer ya kutoka account yako ya TZS kwenda account ya USD.
Watakubali kwa sababu it's within their bank na wewe ni mteja wao. Sepa mamtoni na VISA card yako ya USD account kanunue mzigo wako and the case is solved. Haya nilipe consultation fee ( joking [emoji1787])
Trust me it works, imenisaidia sana mimi kupata USD
NB: Usisahau kutoa ya kubrashia kiatu kwa anayekuhudumia ili kuboresha mahusiano next ukienda tena ( joking [emoji1787])
Dar nzima dollar hakuna?ukikwama kabisa Nenda ArushaHabari ndugu zangu humu jukwaani, naombeni machimbo wapi ntapata dollar.
Nimezunguka sana kwenye benki lakini nimekwama, hakuna kabisa.
Sehemu gani naweza kupata dola ndugu zangu? Nahitaji kuagiza mzigo Japan.
.Nawasubiri team rusia pengine wana namna ya kufanya kuzuia upungufu wa dola
Na wewe unaamini !!???
Nimeenda CRDB hakuna kitu.