Msaada wa setting ya internet kwenye simu ya LG

Edgartz

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2010
Posts
241
Reaction score
23
Wakuu naomba msaada jinsi ya kuunganisha internet kwenye simu yangu.
 
na je ukitaka kujua silio namba unafanyaje kwamfano nokia inafamika je LG unafanyaje?
 
Unatumia mtandao gani?
Kama voda
A> andika wap acha nafasi jina la simu acha nafasi model kisha tuma 15300,
B>au tuma tarakimu nane za mwanzo za imei no ya simu yako kwenda 15300.

Tigo fuata utaratibu A kama voda kwa kutuma kwenda 500
 
Unatumia mtandao gani?
Kama voda
A> andika wap acha nafasi jina la simu acha nafasi model kisha tuma 15300,
B>au tuma tarakimu nane za mwanzo za imei no ya simu yako kwenda 15300.

Tigo fuata utaratibu A kama voda kwa kutuma kwenda 500

Na irtel unafanyeje? nikituma hawaniletei setteng nilitaka kuunganisha mwenyewe, je haiwezekani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…