Ndg wana JF,
mpendwa wangu anaumwa kansa ya damu na amelazwa bugando, ambayo imesabishwa na kufanya kazi katika mgodi wa north Mara, kama kibarua akiwa anajitafutia riziki, naomba nisaidiwe kisheria ni fanyeje? ili angalau iwe fundisho kwa hawa wamiliki ili tuokoe watanzania wenzetu.
mpendwa wangu anaumwa kansa ya damu na amelazwa bugando, ambayo imesabishwa na kufanya kazi katika mgodi wa north Mara, kama kibarua akiwa anajitafutia riziki, naomba nisaidiwe kisheria ni fanyeje? ili angalau iwe fundisho kwa hawa wamiliki ili tuokoe watanzania wenzetu.