Ninandugu yangu mdada, amekuwa kwenye mahusiano na askari wabarabarani kwa muda wamiaka kumi sasa, hawakufunga ndoa lakini..
Ndugu yangu alikuwa naposition nzuri kifedha, alifanikiwa kusomesha ndugu wahuyo mwanaume, mwanaume mwenyewe pia alienda moshi kusoma, alinunua magari nakujenga nyumba pia, yoote aliyoyafanya documents aliandika jina lamwanaume... Naomba msaada washeria kama upo kwasababu Mwanaume kampiga almanusra kumuua, kamfukuza nahajaruhusu kuondoka hata nanguo zake...
Ndugu yangu alikuwa naposition nzuri kifedha, alifanikiwa kusomesha ndugu wahuyo mwanaume, mwanaume mwenyewe pia alienda moshi kusoma, alinunua magari nakujenga nyumba pia, yoote aliyoyafanya documents aliandika jina lamwanaume... Naomba msaada washeria kama upo kwasababu Mwanaume kampiga almanusra kumuua, kamfukuza nahajaruhusu kuondoka hata nanguo zake...