Msaada wa sheria jamani.

Msaada wa sheria jamani.

kangalo

Member
Joined
Nov 27, 2012
Posts
18
Reaction score
1
Kifungu kipi cha sheria za nchi hii kinamshtaki mtu aliyeshindwa kutunza mnyama afugwaye?
 
Kifungu kipi cha sheria za nchi hii kinamshtaki mtu aliyeshindwa kutunza mnyama afugwaye?
kuna kesi za aina mbili criminal na civil sasa kwako wewe hapo unataka ipi? kwa utaratibu nenda kwanza polisi toa taarifa then ingia google.com/penal code tanzania ni cap 16 perusi humo..kama huyo mnyama kakudhuru wewe law of torts ni applicable..ambayo kimsingi ni case laws tupu, nafikiri kuna visection vinahusika huko daah nilisomaga zamani sana i hope hako ka mwanga katakusaidia..
 
Back
Top Bottom