Msaada wa sheria na jinsi ya kuchukua hatua

Msaada wa sheria na jinsi ya kuchukua hatua

New Nytemare

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2011
Posts
3,333
Reaction score
2,484
Wakuu watalam wa sheria naombeni msaada nifanyeje kuna ndugu yangu kachafuliwa mtandaon kwenye blog flan sasa sijui nifate hatua zp maana hata email tcra hawajibu..
 
Wakuu watalam wa sheria naombeni msaada nifanyeje kuna ndugu yangu kachafuliwa mtandaon kwenye blog flan sasa sijui nifate hatua zp maana hata email tcra hawajibu..

Jamani ayejua process za kufuata amsaidie huyo mwenzetu
 
Wakuu watalam wa sheria naombeni msaada nifanyeje kuna ndugu yangu kachafuliwa mtandaon kwenye blog flan sasa sijui nifate hatua zp maana hata email tcra hawajibu..

aende mahakan akashtaki kuwa amefanyiwa defametion aende mahakm ya mwanzo ya wilaya yake akaonyeshe kila ushahid ya kudhibitisha hilo sual lake
means akufungue kesi
ama ende polisi akafungue jalada
 
Back
Top Bottom