nyilaegenge
Senior Member
- Apr 13, 2014
- 198
- 105
Mimi ni mtumishi wa serikali ajira mpya, mpaka sasa sijapata mshahara na nilitumia acount ya CRDB,NMB wanasema wametuma pesa kwenda CRDB tangu tarehe 27.05.
Je naweza kuwashtaki CRDB kwa kukaa na pesa zangu na anayejua nitafunguaje hii kesi?
Je naweza kuwashtaki CRDB kwa kukaa na pesa zangu na anayejua nitafunguaje hii kesi?