Mama yangu amefanya kazi kama mwalimu wa awali kwa miaka 19 akiishi eneo la shule ilipo.Amepaendeleza na kupaboresha.
Hakuwahi kupewa likizo wala pesa zake hazikuwahi kupelekwa mfuko wa jamii.Sasa ameachishwa na amelipwa milion 1.4 kama pesa ya kiinua mgogo.
Jaman msaada aende wapi asaidiwe?
Yupo anaishi Mwanza sasa.