saidhafidh
Senior Member
- Apr 10, 2013
- 119
- 8
Naomba msaad juu ya aina za uraia km zilivyo ainishwa katik(Tanzania Citizenship Act, No. 6 of
1995 and its Regulations of1997) maa nashindwa kumjua yupi mtanzania wa kuzaliwa kisheria na yup wa(by decent na yupi by Naturalization) kwasababu mm c mtaalam wa sheria. maan nna maswali meng ktik kipengele hich ila kwa kuanzia naomb ufafanuz juu ya aina hizo tatu asantan nategemea majibu mazur yatayosaidia kuniengezea ufanis ktk hilo.
1995 and its Regulations of1997) maa nashindwa kumjua yupi mtanzania wa kuzaliwa kisheria na yup wa(by decent na yupi by Naturalization) kwasababu mm c mtaalam wa sheria. maan nna maswali meng ktik kipengele hich ila kwa kuanzia naomb ufafanuz juu ya aina hizo tatu asantan nategemea majibu mazur yatayosaidia kuniengezea ufanis ktk hilo.