runyaga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2013
- 523
- 241
Za jioni mawakili wasomi,
Naomba msaada wenu wa kupata soft copy ya sheria za barabarani make nahisi kuonewa sana na trafic barabarani.
Mpaka sasa hivi nimeandikiwa makosa manne ambayo bado sinayalipia ila yote nahisi nimeonewa, kwahiyo mwenye hiyo soft copy naomba msaada wake ili niipitie.
Naomba msaada wenu wa kupata soft copy ya sheria za barabarani make nahisi kuonewa sana na trafic barabarani.
Mpaka sasa hivi nimeandikiwa makosa manne ambayo bado sinayalipia ila yote nahisi nimeonewa, kwahiyo mwenye hiyo soft copy naomba msaada wake ili niipitie.