Msaada wa sheria

Msaada wa sheria

simplemind

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2009
Posts
16,418
Reaction score
9,209
Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu na wenzao zaidi ya 50 wapo gereza ni Segerea Dar es salaam kwa zaidi ya miaka mitatu . Ni sheria ipi inatumika kuwaweka watanzania gerezani kwa zaidi ya miaka mitatu bila kuhukumiwa? Justice delayed is justice denied.
 
Uamsho walitenda kosa jipi zaidi ya uhaini wa Jecha au usaliti Mitungi?
 
Justice Chande Othman this is a clear, visible instance of miscarriage of justice. Siyo la kufumbia macho hoping somehow litafifia. Halififii kamwe,Justice and truth.
 
Back
Top Bottom