Mambo vipi mkuu naomba nikuulize swali lakini usinielewe vibaya.Kwani wewe ndio ulikuwa mdhamini wa jamaa?
ulizaMambo vipi mkuu naomba nikuulize swali lakini usinielewe vibaya.
Mmmh pole sana mkuu ..kama una uwezo tafuta mwanasheria akusaidie au tafuta namna ya kumsaidia mshikajiHAPANA... WAKATI ANAOMBA KAZI KUNA WATU ALIWAANDIKA KAMA WADHAMINI WAKE SASA POLISI WAMEWATAFUTA KWA SIM WAMEWAKOSA WAMEAMUA KUNIFATA MIMI NINAE KAA NAE ILI NILIPE NA JAMAA KAWAELEKEZA KUA MM NI NDUGU YAKE WAKATI NI MSHIKAJI TU NILIKUA NA KAA NAE KWAIO POLISI WANATAKA NILIPE MIMI AU NA MM NIINGIE NDANI
mmmh..poa ngoja wadau wengine waje wakupe ushauriAPO NDIO NIMESHINDWA NIKO NJIA PANDA NDO MAANA NAOMBA USHAURI UMU NISAIDIEN
wewe aupo kwenye mkataba wao wanajuana wenyewe,yani apo wewe unawapa ushirikiano tuu labda kama unahusika moja kwa moja kwenye upotevu/mtuhuniwa.Maakamani si ndo watanifunga mimi kabisa au? Nielekeze