Muda wa kukaa mahabusu kisheria ni masaa 24 ila Mkuu haujamsikia kangi siku ile akisema kama mtuhumiwa akikaa mahabusu na akatolewa nje kupunga upepo akiingizwa tena masaa yale yanahesabika upya .Wandugu habari!
Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
Kama ni kesi ya mauaji au uhujumu uchumi madawa ya kulevya au kutaka kupindua Serikali inaweza kusababisha akae mahabusi kwa muda mrefuWandugu habari!
Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
Onana na mkuu wa kituo mweleze hilo.Wandugu habari!
Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
Da!! Hahahaaa ukipungwa upepo km mtihani huekisipai!!!Muda wa kukaa mahabusu kisheria ni masaa 24 ila Mkuu haujamsikia kangi siku ile akisema kama mtuhumiwa akikaa mahabusu na akatolewa nje kupunga upepo akiingizwa tena masaa yale yanahesabika upya .