Msaada wa sheria

Msaada wa sheria

Bin Chuma

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
313
Reaction score
244
Wandugu habari!

Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
 
Wandugu habari!

Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
Muda wa kukaa mahabusu kisheria ni masaa 24 ila Mkuu haujamsikia kangi siku ile akisema kama mtuhumiwa akikaa mahabusu na akatolewa nje kupunga upepo akiingizwa tena masaa yale yanahesabika upya .
 
Wandugu habari!

Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
Kama ni kesi ya mauaji au uhujumu uchumi madawa ya kulevya au kutaka kupindua Serikali inaweza kusababisha akae mahabusi kwa muda mrefu
 
Wandugu habari!

Naombeni msaada wa kisheria kuhusu muda wa mtuhumiwa kukaa mahabusu ya polisi. Kuna ndugu mmoja yupo kituo cha polisi tabata zaidi ya wiki sasa, ukiuliza kwa nini unaambiwa upelelezi haujakamilika, je ni sawa? Polisi wanatakiwa kukaa na mtuhumiwa kwa muda gani?
Onana na mkuu wa kituo mweleze hilo.
 
Muda wa kukaa mahabusu kisheria ni masaa 24 ila Mkuu haujamsikia kangi siku ile akisema kama mtuhumiwa akikaa mahabusu na akatolewa nje kupunga upepo akiingizwa tena masaa yale yanahesabika upya .
Da!! Hahahaaa ukipungwa upepo km mtihani huekisipai!!!
 
Back
Top Bottom