Msaada wa sheria

Msaada wa sheria

MWAMKALI

New Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
1
Reaction score
0
HI.
naomba nisaidiwe katika hili,kuna haki gani anayotakiwa kupata mfanyakazi ambae amesitishiwa ajira yake eti kwasababu elimu aliyokuwa nayo haiendani na nafasi ya kazi aliyonayo kwa wakati huo,wakati alikuwa na sifa za nafasi hiyo wakati inatangazwa i.e (MINIMUM QUALIFICATION),naomba nisaidiwe jamani
 
Back
Top Bottom