sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
We jamaa umemshauri vizur sanaaa huyu mtoa mada,nishauri azingatie ushaur ila anategemea anataka kulima ili apate nini?ataka kilimo biashara au?si kila anae Lima anataka kuuza ila km anataka kuuza basi husilime Mzee,hata Mimi Na mwenzangu tulitaka kulima ila baadae baada a kukaa miezi mitatu kwa maana nwanzo wa msimu mpk hiv sasa wanapo anza kulima tunaona hakuna haja ya kulima tena,tunaona ni Bora tununue mpunga Na kuweka storage somewhere! Hakika gharama za kulima ni kubwa sanaaaa! Na ni pata potea!Mimi nina mashamba ya urithi huko Mang'ula sijawahi kulima hata siku moja ila huwa yanakodishwa na watu niliowaachia, bei kwa sasa sifahamu kwakuwa hata hiyo pesa sijawahi kuiona jamaa wanakula tu. Sasas kama uko serious mimi ni wasimamishe wale wa kule ili nikukodishe wewe. Mimi nimekulia huko, kilimo cha mpunga ni kigumu sana hasa kama unafanya kwa jembe la mkono. Kuna kutayarisha shamba kwakuwa mashamba haya ni ya zamani unaanza na kulima kisha unapiga halo then unamwaga au kupanda mpunga, baadae kung'olea au kupiga dawa majani, kisha kama kutakuwa na ndege yakubidi ulinde ndege wasile mpunga. Baada ya hatua zaote hizo unafuatiwa na kuvuna, kupiga, kupepeta na kuweka kwenye magunia. Kwakuwa mashamba yote ya wiliya ya Kilombero yapo mbali na vijijini hususani kwenye barabara kuu ya Dar-Ifakara inakubidi uwe na plan ya kuhifadhi mpunga wako shambani baada ya kuweka kwenye magunia then usafirishe kwenda kijijini ambok itabidi utafute storage area kabla haujasafirisha kupeleka unakohitaji. Mimi nakushauri kwakuwa wewe si mwenyeji wa maendeo hayo kilimo hiki cha kutegemea mvua chaweza kukulaza, hivyo kama unapesa ya kutosha subiri wakati wa mavuno ununue mpunga na kufanya biashara au la wakati wa kulima nenda vijijini wakopeshe wananchi pesa kisha mkubaliane kulipwa mpunga wakati wa mavuno na akikosa then utajua cha kufanya. Upo?
Sisi tumeamua kwanza tununue mpunga msimu wa mavuno.
Pili kwa kuwa tuna taasisi yetu tunakopesha basi tunakopesha wakulima Na msimu w mavuno wanalipa mpunga badala ya pesa!
Tatu,tunawataftia soko zuri wakulima ambao tumewakopeaha pesa zetu kwa mpunga wa ziada unao bakia baada ya kulipa deni letu!