ULIMI HAUNA MFUPA
Member
- Feb 24, 2015
- 9
- 14
Wadau nataka kubadili matumizi ya ka-IST kangu kawe cha biashara, angalau kanisaidie kupunguza ugumu wa maisha.
Naomba mnisaidie taratibu nazo takiwa kizifuata katika kufanikisha hili katika maeneo yafuatayo:
a) Gharama za kubadili kadi ya gari
b) Ni kituo gani cha polisi wanafanya ukaguzi wa gari na gharama zake
e) Jinsi ya kujisajili LATRA na gharama zake.
e) Mengineyo ya kuzingatia kama yapo
Natanguliza Shukrani[emoji120]
Naomba mnisaidie taratibu nazo takiwa kizifuata katika kufanikisha hili katika maeneo yafuatayo:
a) Gharama za kubadili kadi ya gari
b) Ni kituo gani cha polisi wanafanya ukaguzi wa gari na gharama zake
e) Jinsi ya kujisajili LATRA na gharama zake.
e) Mengineyo ya kuzingatia kama yapo
Natanguliza Shukrani[emoji120]