Kuna vitu vingi vinavyoweza sababisha gari kutoa mlio,vitu kama berings za Ac au oil pump inaweza sababisha mvumo,...oil pia kutopanda vizuri kuna sababisha vyuma kupiga ka ukelele flani....mimi kwakua najua mafundi wengi wa Dar ni wazee wa kukisia kama wapiga ramli....nachofanyaga natafuta namba za simu za mafundi engine wazoefu kama wanne wa gereji tofauti tofauti kupitia njia mbalimbali hasa ma group yangu ya wasap yanayohusu magari,....baada ya hapo naenda na gari nawambia wasikilize mlio huo au kama wewe si unasema imerekodi.....baada ya hapo lazima tapata jibu,baada ya hapo ndio nampa kazi mmoja afanye!