shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,430
- 3,547
Habari wataalamu kwa wiki kama mbili nimenotisi kitu kwenye gari yangu. Nikiwasha asubuhi. Inakuwa na kamlio fulani kwenye engine ambapo kanapotea baada ya dakika kama mbili au tatu gari ikipata moto.
Nilipelka jana kwa fundi akanishauri nibadilishe oil pengine ipo chache. Leo tena nimeona shida ileile.
Nimerekodi sauti yake kwa anayeweza toa suggestions.
Nipo kigamboni gari ni subaru forester.
Nilipelka jana kwa fundi akanishauri nibadilishe oil pengine ipo chache. Leo tena nimeona shida ileile.
Nimerekodi sauti yake kwa anayeweza toa suggestions.
Nipo kigamboni gari ni subaru forester.