RAJ SIMBA
Member
- Apr 26, 2020
- 15
- 9
Habar za mida ndugu zangu. Mimi nahitaji msaada wenu kuna tatizo linanisumbua.
1. Katikati ya kifua na tumbo panavuta Sana kwa ndani mpaka nahisi kama nimeweka mzigo mkubwa maana nahisi uzito.
2. Nahisi Ganzi kichwani, Mbavuni, tumboni na hii inapelekea mbavu na kifua kuhisi kama nimebanwa vile au Ngozi zinajivuta na kujikaza kiasi ambacho inapelekea kukosa balance wakati wa kutembea nakuwa napepesuka hivi mpaka inafikia hatua nandondoka kwa kukosa balance.
Naombeni ndugu zangu mnijuze ni ugonjwa gani huu na unatokana na nini?
1. Katikati ya kifua na tumbo panavuta Sana kwa ndani mpaka nahisi kama nimeweka mzigo mkubwa maana nahisi uzito.
2. Nahisi Ganzi kichwani, Mbavuni, tumboni na hii inapelekea mbavu na kifua kuhisi kama nimebanwa vile au Ngozi zinajivuta na kujikaza kiasi ambacho inapelekea kukosa balance wakati wa kutembea nakuwa napepesuka hivi mpaka inafikia hatua nandondoka kwa kukosa balance.
Naombeni ndugu zangu mnijuze ni ugonjwa gani huu na unatokana na nini?