huo ugonjwa mm umenisumbua sana zaidi ya miaka 3 sasa
Nilipima BP Normal 120/80
Nilipima Hb 15
Nilipima kipimo cha ECG amana
Nilipima sukari 5.2
Nilipima cholesterol Normal
Nilicheki vidonda vya tumbo hakuna kitu
Ngoja sasa nikupe dalili zangu mimi sijui kama na wewe huko hivi
Kichwa kuuma
Tumbo kujaa gesi
Kifua kinauma kwa mbali sehemu ya chembe ya moyo
Miguu inakosa nguvu kabisa
Na kuna wakati kichwa kinakuwa kizito unajiona unasinzia bila sababu yeyote
hospitali sikupata majibu kabisa
Kila kitu kipo Normal
Nikasema ngoja niende kwenye miti shamba nako sound tu si unajua kwa mganga apakosi nyimbo
Nikaachana kabisa na tiba kutoka pande zote mbili
hospitali na kwa wawichi doctor
Sasa najitibia mwenyewe mwanzo mwisho na nafuu naiyona inshaallah pole sana jamaa yangu
Punguza stress kabisa jipe moyo Mungu mkubwa utapona.