Habari Za Asubuhi.
Nina Mdogo Wangu Ana Uvimbe Mkubwa Kwenye Paja Kwa Juu Karibia Na Makende. Uvimbe Huu Hua Unajirudia Rudia Ameshafanyiwa Operation Mara 2 Lakin Baada Ya Muda Kama Miez 3 Na Kuendelea Unarud Tena. Sasa Msaada Ninautaka Toka Kwenu Ni:-
(1) Mwenye Uwezo Wa Kutoa Tiba Au Ushauri Atusaidie.
(2) Mwenye Kujua Hospitali Nzuri {dar} Atuelekeze ili Tupkapate Tiba Sahihi Na Ya Uhakika.
Natanguliza Shukrani Zangu Za Dhat Kwenu.