Director-k
Member
- Mar 12, 2014
- 88
- 26
Habari Za Asubuhi.
Nina Mdogo Wangu Ana Uvimbe Mkubwa Kwenye Paja Kwa Juu Karibia Na Makende. Uvimbe Huu Hua Unajirudia Rudia Ameshafanyiwa Operation Mara 2 Lakin Baada Ya Muda Kama Miez 3 Na Kuendelea Unarud Tena. Sasa Msaada Ninautaka Toka Kwenu Ni:-
(1) Mwenye Uwezo Wa Kutoa Tiba Au Ushauri Atusaidie.
(2) Mwenye Kujua Hospitali Nzuri {dar} Atuelekeze ili Tupkapate Tiba Sahihi Na Ya Uhakika.
Natanguliza Shukrani Zangu Za Dhat Kwenu.
Nina Mdogo Wangu Ana Uvimbe Mkubwa Kwenye Paja Kwa Juu Karibia Na Makende. Uvimbe Huu Hua Unajirudia Rudia Ameshafanyiwa Operation Mara 2 Lakin Baada Ya Muda Kama Miez 3 Na Kuendelea Unarud Tena. Sasa Msaada Ninautaka Toka Kwenu Ni:-
(1) Mwenye Uwezo Wa Kutoa Tiba Au Ushauri Atusaidie.
(2) Mwenye Kujua Hospitali Nzuri {dar} Atuelekeze ili Tupkapate Tiba Sahihi Na Ya Uhakika.
Natanguliza Shukrani Zangu Za Dhat Kwenu.