T-bane
Member
- Apr 17, 2017
- 79
- 159
Wanasheria heshima kwenu,
kwa uelewa wangu mdogo ni kuwa hati ya kiwanja inapatikana baada ya kupata offer ya kiwanja then ndio baadae unapata hati ya kiwanja (kama nimekosea nisahihisheni kwa hilo).
Sasa endapo mtu umepata offer ya kumiliki kiwanja cha ekari moja; na baadae let say ukajenga nyumba kama vile appartments style zikawa nyumba let say 5 ndani ya kiwanja kimoja cha ekari moja.
Swali: Hati ya nyumba unaipata kutoka wapi? au ile Offer au hati ya kiwanja ndio inakuwa hiyo hiyo hati ya nyumba??
Je endapo nataka kila nyumba niliyojenga iwe na hati yake, nafanyaje?
Naomba ushauri wenu wa kisheria na utalamu wenu kadiri mnavyofahamu.
Natanguliza shukrani.
kwa uelewa wangu mdogo ni kuwa hati ya kiwanja inapatikana baada ya kupata offer ya kiwanja then ndio baadae unapata hati ya kiwanja (kama nimekosea nisahihisheni kwa hilo).
Sasa endapo mtu umepata offer ya kumiliki kiwanja cha ekari moja; na baadae let say ukajenga nyumba kama vile appartments style zikawa nyumba let say 5 ndani ya kiwanja kimoja cha ekari moja.
Swali: Hati ya nyumba unaipata kutoka wapi? au ile Offer au hati ya kiwanja ndio inakuwa hiyo hiyo hati ya nyumba??
Je endapo nataka kila nyumba niliyojenga iwe na hati yake, nafanyaje?
Naomba ushauri wenu wa kisheria na utalamu wenu kadiri mnavyofahamu.
Natanguliza shukrani.