naomba mnisaidie wana jf. hivi wazazi wote wawil wenye albinism, kuna uwezekano wa kuzaa mtoto asiye albino? ikiwa ni kwel inawezekanaje?
nisaidien ndug zangu.
Naomba mnisaidie wana JF,
Hivi wazazi wote wawil wenye Albinism, kuna uwezekano wa kuzaa mtoto asiye Albino? Ikiwa ni kwel inawezekanaje?
Nisaidien ndugu zangu..