Msaada wa udhamini kwaajili ya chuo

Msaada wa udhamini kwaajili ya chuo

Usimhakikishie kupata mkopo, kuna yatima wengi wanakosa mikopo pamoja na kukidhi vigezo vya hovyo vya kusoma shule za serikali. Kilio cha kukosa mkopo huku ulijiaminisha kwa vigezo hakumithiliki.
Mwache apigane hadi tone la mwisho,mlango utakapomfungukia ndipo atakapoingilia... Maisha ni vita
Mwaka huu nimeshudia Yatima na Tasaf wakipewa nyingi 50% mambo ya 100% imekuwa zilipendwa.
 
Usimhakikishie kupata mkopo, kuna yatima wengi wanakosa mikopo pamoja na kukidhi vigezo vya hovyo vya kusoma shule za serikali. Kilio cha kukosa mkopo huku ulijiaminisha kwa vigezo hakumithiliki.
Mwache apigane hadi tone la mwisho,mlango utakapomfungukia ndipo atakapoingilia... Maisha ni vita
Kasema hana documents na hajaapply kabisa ,ivyo Kam angeaapply angepata ata asilimia 60% zngemsaidia ila sio saiv Hana kitu,mjini connection nying watampoteza...asiw na harak ya chuo hakn mapya
 
Nina wadog zang kama wew nliwapa ushauri wa bure kama huu,na wakanisikiliza mambo hayakua fresh wakapiga mishe ,next year wakaapply.kam utataka stress na kua mtumwa ni juu yako
Elezea tukuelewe, unamshauri apige mishe then akusanye ada au!!?? Kidding
 
Postpone mwak uje uapply mwakan vizuri kabisa ,na utapata 100% saiv tafuta kazi
Ashike hili wazo. Madogo wana mentality ya kudhani chuo ni kama la nne, kwamba lazima uunge darasa la 5. Chuoni wanasoma hadi wazee. Unaweza kukaa miaka hata mitatu ukaenda. Tulia, omba mkopo mwakani.

Ukijichanganya ukaanza kusoma halafu hauna uhakika wa ada, UTAPATA TAABU SANA.
 
Member since 22 october ?? ...account yako ya zamani please tajue tabia yako through comments na thread zako
Hii Ni nzuri sana, inashangaza pale mtu amapohitaji msaada anakuja na new account, hii inaleta shida, binafsi nimeguswa Ila kwa hili la new account nimesta kidogo!!!
 
Hii Ni nzuri sana, inashangaza pale mtu amapohitaji msaada anakuja na new account, hii inaleta shida, binafsi nimeguswa Ila kwa hili la new account nimesta kidogo!!!
account ya zamani inajina erickmartin19999 nimesahau passwords zake
 
Nina wadog zang kama wew nliwapa ushauri wa bure kama huu,na wakanisikiliza mambo hayakua fresh wakapiga mishe ,next year wakaapply.kam utataka stress na kua mtumwa ni juu yako
Hivi ni kweli una mshauri mwenzako akapige mishe mtaani ili apate hela arudi chuo! Na uko serious kabisa!! Apige mishe gani hiyo itakayomwingizia hela ya ada kwa miaka mitatu ( si chini ya 5M), Ok then na akianza chuo ataendelea na hiyo mishe au nd basi tena!!!??, na atajikimu vipi na life la chuo!!?? Binafsi Nilisitisha masomo kwa kusoma ada na watu kama ninyi wakanishauri hvy but mwisho wa siku nikapiga mishe viwandani na kujikuta palepale nilipokuwa mwanzo
 
Hivi ni kweli una mshauri mwenzako akapige mishe mtaani ili apate hela arudi chuo! Na uko serious kabisa!! Apige mishe gani hiyo itakayomwingizia hela ya ada kwa miaka mitatu ( si chini ya 5M), Ok then na akianza chuo ataendelea na hiyo mishe au nd basi tena!!!??, na atajikimu vipi na life la chuo!!?? Binafsi Nilisitisha masomo kwa kusoma ada na watu kama ninyi wakanishauri hvy but mwisho wa siku nikapiga mishe viwandani na kujikuta palepale nilipokuwa mwanzo
Wee jamaa Acha kudandia boti mkuu,ebu fatilia mazungumzo yangu tangu mwanzo Sina mda wa kukuelewesha
 
Hivi ni kweli una mshauri mwenzako akapige mishe mtaani ili apate hela arudi chuo! Na uko serious kabisa!! Apige mishe gani hiyo itakayomwingizia hela ya ada kwa miaka mitatu ( si chini ya 5M), Ok then na akianza chuo ataendelea na hiyo mishe au nd basi tena!!!??, na atajikimu vipi na life la chuo!!?? Binafsi Nilisitisha masomo kwa kusoma ada na watu kama ninyi wakanishauri hvy but mwisho wa siku nikapiga mishe viwandani na kujikuta palepale nilipokuwa mwanzo
Nakubali sana ,na huo ndio uhalisia kupiga mishe za bongo ni uongo bora atufute connections za watu ,ndugu ,nyumba za ibada nk kama atapata wadhamini wa uhakika wa kumpush huku akitafakari njia nyingine.
 
Nakubali sana ,na huo ndio uhalisia kupiga mishe za bongo ni uongo bora atufute connections za watu ,ndugu ,nyumba za ibada nk kama atapata wadhamini wa uhakika wa kumpush huku akitafakari njia nyingine.
Akatie huruma kwa vijana wa hovyo mjini hapa wakimfukunyua ,maan Hana kitu atatoa nn 😅
 
Back
Top Bottom