Msaada wa ufafanuzi katika ujenzi wa ghorofa moja

Msaada wa ufafanuzi katika ujenzi wa ghorofa moja

Nimepiga hesabu hapa kuwa kwa mwezi ni fight atleast nipate 1.5m ya uhakika itahitaji miaka 7 yaani miezi 84 kufikisha 126m ambayo ndio kighorofa kitaonekana. Duh..
Kama unataka kufanya kitu kianze tu, wala usiwaze hizo hesabu za pesa. Kawaida Mungu anakupa kutakana na mpango ulionao. Ukiwaza kidogo utatumia nguvu ndogo na ukiwaza kikubwa Mungu atakupa nguvu kubwa ukimalize

Mie nimejenga ghorofa ina vyumba vinne, baths tano na sebule chini na juu. Nimejenga kwa miaka mitano mpaka namaliza kila kitu mpk fensi, landscaping na geti.

Nilipoona nimeweza ndio nikaanza kujenga nyumba ndogo simple za kupangisha
 
Kama unataka kufanya kitu kianze tu, wala usiwaze hizo hesabu za pesa. Kawaida Mungu anakupa kutakana na mpango ulionao. Ukiwaza kidogo utatumia nguvu ndogo na ukiwaza kikubwa Mungu atakupa nguvu kubwa ukimalize

Mie nimejenga ghorofa ina vyumba vinne, baths tano na sebule chini na juu. Nimejenga kwa miaka mitano mpaka namaliza kila kitu mpk fensi, landscaping na geti.

Nilipoona nimeweza ndio nikaanza kujenga nyumba ndogo simple za kupangisha
Hongera sana Kiongozi
 
Ila natamani sana waTanzania tungejifunza kutegemea watalaam kwenye shughuli zetu. Unakuta mtu anajenga nyumba ya bajeti milion 100, lakini ukimwambia amshirikishe architect au engineer hataki.

Cheap is expensive!
Kwa kweli point yako ni muhimu sana kwa watu wanaotaka kujenga (hasa ghorofa) kuizingatia. Ghorofa msingi wake tu unakula zaidi ya milioni 40. Hawa Fundi Maiko atakwambia andaa milioni 15 - 20, matokeo yake nyumba baada ya mwaka mmoja inakuwa na nyufa kibao na baadaye kuanguka kabisa. Mimi binafsi najenga ghorofa, nimeanza mwezi wa 12 mwaka jana. Katika ujenzi huo nilimtafuta Architect mwenye uzoefu akanichorea ramani, akaipeleka kwa Structural Engineer naye akaandaa michoro yake. Baada ya hapo nikamtafuta Engineer mwenye uzoefu mkubwa (nilipewa connection) wa kunisimamia kwenye ujenzi, tukakubaliana gharama za usimamizi. Hadi ninavyoandika muda huu jengo linajengwa mpaka nafurahi, mimi ni kwenda kuangalia tu hatua za ujenzi zilizofikiwa. Huyu Engineer wakati mwingine ananiita site kunipa option ya masuala mbalimbali kulingana na mchoro wa Jengo. Hadi muda huu tupo tunamwaga zege kwenye slab ya ghorofa ya kwanza. Jengo linavutia hata kabla ya kumalizika. Zaidi ya hapo hawafanyi ujenzi wowote bila kufanya material testing.
 
Kwa kweli point yako ni muhimu sana kwa watu wanaotaka kujenga (hasa ghorofa) kuizingatia. Ghorofa msingi wake tu unakula zaidi ya milioni 40. Hawa Fundi Maiko atakwambia andaa milioni 15 - 20, matokeo yake nyumba baada ya mwaka mmoja inakuwa na nyufa kibao na baadaye kuanguka kabisa. Mimi binafsi najenga ghorofa, nimeanza mwezi wa 12 mwaka jana. Katika ujenzi huo nilimtafuta Architect mwenye uzoefu akanichorea ramani, akaipeleka kwa Structural Engineer naye akaandaa michoro yake. Baada ya hapo nikamtafuta Engineer mwenye uzoefu mkubwa (nilipewa connection) wa kunisimamia kwenye ujenzi, tukakubaliana gharama za usimamizi. Hadi ninavyoandika muda huu jengo linajengwa mpaka nafurahi, mimi ni kwenda kuangalia tu hatua za ujenzi zilizofikiwa. Huyu Engineer wakati mwingine ananiita site kunipa option ya masuala mbalimbali kulingana na mchoro wa Jengo. Hadi muda huu tupo tunamwaga zege kwenye slab ya ghorofa ya kwanza. Jengo linavutia hata kabla ya kumalizika. Zaidi ya hapo hawafanyi ujenzi wowote bila kufanya material testing.
Hongera sana mkuu. Project yako unaiendesha kisomi sana. Hiyo haizuii watu kujenga kawaida, okoa gharama pale penye ulazima.
 
Kwa kweli point yako ni muhimu sana kwa watu wanaotaka kujenga (hasa ghorofa) kuizingatia. Ghorofa msingi wake tu unakula zaidi ya milioni 40. Hawa Fundi Maiko atakwambia andaa milioni 15 - 20, matokeo yake nyumba baada ya mwaka mmoja inakuwa na nyufa kibao na baadaye kuanguka kabisa. Mimi binafsi najenga ghorofa, nimeanza mwezi wa 12 mwaka jana. Katika ujenzi huo nilimtafuta Architect mwenye uzoefu akanichorea ramani, akaipeleka kwa Structural Engineer naye akaandaa michoro yake. Baada ya hapo nikamtafuta Engineer mwenye uzoefu mkubwa (nilipewa connection) wa kunisimamia kwenye ujenzi, tukakubaliana gharama za usimamizi. Hadi ninavyoandika muda huu jengo linajengwa mpaka nafurahi, mimi ni kwenda kuangalia tu hatua za ujenzi zilizofikiwa. Huyu Engineer wakati mwingine ananiita site kunipa option ya masuala mbalimbali kulingana na mchoro wa Jengo. Hadi muda huu tupo tunamwaga zege kwenye slab ya ghorofa ya kwanza. Jengo linavutia hata kabla ya kumalizika. Zaidi ya hapo hawafanyi ujenzi wowote bila kufanya material testing.
Hizo milioni 40 za msingi wajenga nyumba ya sq ngapi?
Je wajenga na underground?
 
Hii experience sitaki ata kukumbuka. Unzaika nondo na tofali zaidi ya 3000 chini, ila inategemea na ukubwa wa nyumba. Ila ikiisha unaheshimika
 
Daaah hii sio nyumba nikibanda,
Kinafaa ukijenge kwaajili ya kukipangisha
Uapte ata 250k per month
 
Ghorofa lina cost zaidi ya 100million, usione ubaili kutoa walau 1mil au 2mil utafute achitect akuchoree jengo lako na usione ubahili kutoa pesa ili upate injinia wa kukufanyie usanifu wa nondo na zege zinazotakiwa kwa ajili jengo lako...

Kulipa injinia akufanyie usanifu ni gharama ndogo kuliko gharama ya kuangukiwa na ghorofa.
Iv mtapigwa mpaka lini icho kibanda ndoo 100m kweli?
 
Milioni 17 TU!
Screenshot_20230401-200455_Instagram.jpg
 
Kwa kweli point yako ni muhimu sana kwa watu wanaotaka kujenga (hasa ghorofa) kuizingatia. Ghorofa msingi wake tu unakula zaidi ya milioni 40. Hawa Fundi Maiko atakwambia andaa milioni 15 - 20, matokeo yake nyumba baada ya mwaka mmoja inakuwa na nyufa kibao na baadaye kuanguka kabisa. Mimi binafsi najenga ghorofa, nimeanza mwezi wa 12 mwaka jana. Katika ujenzi huo nilimtafuta Architect mwenye uzoefu akanichorea ramani, akaipeleka kwa Structural Engineer naye akaandaa michoro yake. Baada ya hapo nikamtafuta Engineer mwenye uzoefu mkubwa (nilipewa connection) wa kunisimamia kwenye ujenzi, tukakubaliana gharama za usimamizi. Hadi ninavyoandika muda huu jengo linajengwa mpaka nafurahi, mimi ni kwenda kuangalia tu hatua za ujenzi zilizofikiwa. Huyu Engineer wakati mwingine ananiita site kunipa option ya masuala mbalimbali kulingana na mchoro wa Jengo. Hadi muda huu tupo tunamwaga zege kwenye slab ya ghorofa ya kwanza. Jengo linavutia hata kabla ya kumalizika. Zaidi ya hapo hawafanyi ujenzi wowote bila kufanya material testing.

Eti nimlipe mtu anisaidie kuniimbia![emoji276]tutabanana hapo hapo kisu cha tumbo mguu wa roho,maghorofa yameanza kujengwa kabla hata mnawaita wataalamu hawajazaliwa
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
Uko vizuri kaka umetoa maelezo mazuri sana kwa aliye makini atakuelewa. Pia umenisaidia sana maana soon nina project ya kujenga nyumba ya ghorofa moja. Hii itanisaidia kukadiria materials na gharama za uendeshaji wa kazi pia.
 
Ipo misingi tofauti tofauti kwaajili ya ghorofa.
Lakini kwa nyumba za ghorofa moja za makazi,kuna aina moja ya msingi ambayo Mara nyingi hutumika,kwa urahisi ipo hivi:

~Unachimbwa msingi wa wastani wa mita moja na nusu (1.5m),na kwenye kila kona ambako nguzo itasimama inachimbwa square ya wastani wa mita moja point mbili (1.5x1.5).

~Baada ya hapo kuna 'layer' tunayoiweka inaitwa 'blinding'.Hii inaweza kuwa ni mchanganyiko wa cement na mchanga au cement,mchanga na zege kwa gredi ya kawaida (Grade 15).Grade hii haihitaji cement nyingi sana.Lengo la hii 'blinding' ni kutengeneza 'surface' isiyo na mabondebonde.

~Baada ya hapo,zinasukwa nondo kutengeneza square yenye 1.2m x 1.2m ambayo itakaa kwenye visquare vya 1.5x1.5m.Hiyo 0.3m inayobaki ni kwaajili ya kupiga mbao'plywood' za base yenye upana wa 350mm -450mm.Wastani kila shimo hutumia nondo moja ya mita 12@16mm diameter ,Kwa spacing ya 175mm,na 'ancre' isiyopungua 250mm.

~Nondo kwaajili ya nguzo 'starter
column' ,ambazo huingia kwenye hayo mashimo ya mita 1.5.Husukwa na kufungwa kwenye hivyo 'vichanja' vya base vya 1.2m by 1.2m.'ancre' yake' ni 300mm.

~'base' huunganishwa kwa 'vichanja' vilivyosukwa upande mmoja."Singly reinforced' kutengeneza msingi ulioungana 'combined strip and pad footings'.

~Baada ya kufunga 'boards'za base za msingi kwaajili ya Ku 'cast zege' ,zege humwagwa.Humwagiliwa kwa siku saba na kisha kutolewa.

~'boksi' au shutters kwaajili ya nguzo za msingi 'starter column' hufungwa.na baadae zege humwagwa.Baada ya muda fulani hufunguliwa na kuendelea kumwagiliwa ili kusaidia kukomaa.Kumbuka kuacha matolezi ya nondo kwa kila nguzo,kwaajili ya nguzo za juu.

~Kazi inayofuata ni kujenga 'blocks' au mawe juu ya base mpaka usawa wa juu wa ardhi.Baada ya kumaliza kujenga.Kifusi kilichotoka kwenye msingi hurudishiwa na kusindiliwa.Inashauriwa Kifusi kiwe kimethibitishwa na mtaalamu wa ujenzi (Mhandisi/Fundi mchundo).

~Baada ya hapo 'ground beams' nguzo za kulala kwaajili ya kushikilia jengo lisititie has a wakati wa majanga kama matetemeko husukwa na kumwagwa.Zinaweza kuwa nondo za mm 12 au 16.na kufungwa na ringi za mm 8 kwa nafasi ya 200mm.

~Baada ya hapo Kifusi huendelea kusindiliwa,baadae inawekwa 'hardcore' au mawemawe.Juu kabisa inawekwa layer ya mchanga.Unapulizia dawa 'anti-termites'


~Juu kabisa inawekwa DPM na 252 BRC mesh.Baadae inamwagwa zege tena.


KIUFUPI:kwa uzoefu wangu msingi wa ghorofa moja ya makazi,kwa ramani ya 12m by 14m,hugharimu kuanzia 20-30M

~Kwa issue ya aina ya kiwanja.
Kama kiwanja chako kipo miliman au kwenye kilima.Ushauri wangu ni kwamba usijenge kiti kirefu mpaka usawa wa kilima kwaajili ya kujenga sehemu ya juu.Unachoweza kufanya ni kwamba sehemu ya chini unaweza kujenga 'basement' kama mbadala wa kujenga kiti kirefu kisicho na maana.'basement' hii waweza kutumia kama vyumba,au parking.

~Kwa issue ya nondo za jengo zima la ghorofa moja,kwa Uzoefu wangu andaa 32-35Mil.Nondo utakazotumia ni za
mm16,mm12,na mm8.bila kusahau binding wires kwaajili ya kufungia nondo.

~Bajeti ya nyumba za ghorofa moja ya makazi ni zaidi ya Mil 100.KUMBUKA:Hii inategemea aina ya ramani,Finishing,Gharama za ufundi eneo husika,Upatikanajj wa material ikiambatana na kubadilikabadilika kwa gharama sokoni,na Usimamizi sahihi usioambatana na 'upigaji'.

Nawasilisha
thanks for sharing.
 
thanks for sharing.

Kaka umeelezea vizuri sana ahsante kwa moyo wako hakika Mwenye nia ya kweli amejifunza kitu naomba ushauri wako mim nimejenga nikanunua vyoo vile vya kuchimbia Matank ukutani sasa fundi hakunishauri vizuri nikamwaga na zege sehemu niliyoweka matank sasa Kuna tank moja choo chake ni European( cha kukaa) lakin mim nikamodify nikaweka kwenye Asian toilet (choo cha kuchuchumaa) bomba lake la maji ni nchi mbili sasa ukiflush maji yanatoka kidogo na bila pressure issue inaweza kuwa ni nin na hiyo sehemu mpka tiles nimeshaweka inaniuma kweli kuvunja tena .
 
Back
Top Bottom