Namba walizotoa nyingi hazipatikani, kuna moja ilikua inaita tu hadi inakatika, ukiwatumia sms napo hawajibu, sijui namba walitoa za nini kama hawataki kuskiliza matatizo ya watu, mi kwenye selection nimechaguliwa lakini nikiangalia profile yangu imeandikwa checking in progress hadi leo.Nilitaka niwaulize inakuajee, niombee upya au ndo tayari nimepata chuo.Wananiacha na hewani tu. Ila ndo nchi yetu jamani, siasa nyingi ikifika kwenye utekelezaji poor.