Galamtogela
Senior Member
- Aug 25, 2013
- 102
- 27
Hivi wanafunzi wanaoomba kujiunga na vyou vya afisa pia wanafanya on-line registration katika mfumo wa central addimission system.au inakuwaje majina ya waliochaguliwa yanatolewa kwenye website ya wizara au inakuwaje?naombeni msaada jamani