Msaada wa uhamisho

Msaada wa uhamisho

Kimetah

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
1,049
Reaction score
189
Wakuu,mim ni mwalimu wa sekondari,nafundisha masomo ya sayansi,naomba mnisaidie niweze kuhama toka Wilaya ya Rombo kwenda Wilaya ya Hai--kilimanjaro ambapo familia yangu ipo...nimehangaika sana....naombeni mwongozo
 
mkuu kama hauna mtu wa kubadilishana nae andaa kifuta jasho cha mtia saini
 
Ongea vizuri na cc watia saini..
 
uyo mtia sign ntamwonaje,?yan simfaham

ongea vizur na afisa elimu au afisa taaluma na hata ma-ps na pia pale masijala mchomoe mmoja chonga nae mbona kitaeleweka tu?,penye nia pana njia na penye uzia penyeza rupia.kila la kheri
 
Back
Top Bottom