SukariTamu
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 295
- 59
Habari wakuu...poleni na majukumu ya kulijenga taifa letu changa...Wakuu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2007 na nilipata daraja la pili la alama 21..kutokana ufukara nilishindwa kuendelea na masomo japo nilichaguliwa kuendelea na masomo ...mwaka huu nimeamua kuendelea na Elimu, je wakuu kwa matokeo yangu ninaweza kupata nafasi katika Chuo cha Ualimu au Fani ingine ukizingatia nimekaa mtaani muda mrefu..N:B Naomba ushauri na sio kejeli
Ualimu ni kujitakia umaskini tu mkuu.somea ishu za maana kama uhasibu,uhandisi nk.