Msaada wa ushauri kuhusu stationery

Msaada wa ushauri kuhusu stationery

Joined
Feb 2, 2024
Posts
23
Reaction score
104
Wajuvi habari zenu?

Baada ya kujishauri kwa muda mrefu kuhusu biashara ya kufanya ili walau nipate kipato nimeona suluhisho ni biashara ya stationary.

Na hapa nimeona kuwa wengi huwa wanakuwa na printer tu bila photocopy machine.

Na mimi ili niweze kubalance mtaji nimeona nianze na kimojawapo kati ya printer au photocopy machine.

Hapo sasa wakuu naombeni mnishauri nianze na kipi kati ya copier au printer. Na brand ipi ni nzuri na yenye bei affordable.

Natanguliza shukrani.
 
Wajuvi habari zenu?.
Baada ya kujishauri kwa muda mrefu kuhusu biashara ya kufanya ili walau nipate kipato nimeona suluhisho ni biashara ya stationary.

Na hapa nimeona kuwa wengi huwa wanakuwa na printer tu bila photocopy machine.
Na mimi ili niweze kubalance mtaji nimeona nianze na kimojawapo kati ya printer au photocopy machine.

Hapo sasa wakuu naombeni mnishauri nianze na kipi kati ya copier au printer. Na brand ipi ni nzuri na yenye bei affordable.

Natanguliza shukrani.


Yote sawa Ila hakikisha unafungua stationary yako karibu na Maeneo ya shule .


Kama ni maeneo yenye shule target shule za Advance

Uwe na maswali na majibu na kuwaandalia vitini

Then kuhusu chuo pia hakikisha unakuwa na vitu vyote muhimu Kama VITABU -slide n.k.


Location
Location
 
Yote sawa Ila hakikisha unafungua stationary yako karibu na Maeneo ya shule .


Kama ni maeneo yenye shule target shule za Advance

Uwe na maswali na majibu na kuwaandalia vitini

Then kuhusu chuo pia hakikisha unakuwa na vitu vyote muhimu Kama VITABU -slide n.k.


Location
Location
Location ni karibu na chuo mkuu, tena ni usoni kabisa
 
Wajuvi habari zenu?.
Baada ya kujishauri kwa muda mrefu kuhusu biashara ya kufanya ili walau nipate kipato nimeona suluhisho ni biashara ya stationary.

Na hapa nimeona kuwa wengi huwa wanakuwa na printer tu bila photocopy machine.
Na mimi ili niweze kubalance mtaji nimeona nianze na kimojawapo kati ya printer au photocopy machine.

Hapo sasa wakuu naombeni mnishauri nianze na kipi kati ya copier au printer. Na brand ipi ni nzuri na yenye bei affordable.

Natanguliza shukrani.
Nunua Canon IR 2520 hii mashine ni kama gari haina ya Fiati ni model ya zamani hata bei ni nafuu,hiyo mashine inatoa copy then inaprint black and white.Ukipata mpya kwa Kazi za stationary, baada ya 6years ndio itaanza kukusumbua. Service ndogo ndogo.Mpya namaanisha mpya.Kama kuna Kazi Chache za coloured kama kadi n.k nunua utajipanga na kununia Epson nayo ni mzuri.Kumbuka uwezo wa computer wa utakayemuweka stationary utaamua idadi ya wateja.Bei inatagemeana na Duka na eneo kama upo Dar bei ya Kkoo haifanani na posta wajuzi watakuja kukupa bei.
 
Nunua Canon IR 2520 hii mashine ni kama gari haina ya Fiati ni model ya zamani hata bei ni nafuu,hiyo mashine inatoa copy then inaprint black and white.Ukipata mpya kwa Kazi za stationary, baada ya 6years ndio itaanza kukusumbua. Service ndogo ndogo.Mpya namaanisha mpya.Kama kuna Kazi Chache za coloured kama kadi n.k nunua utajipanga na kununia Epson nayo ni mzuri.Kumbuka uwezo wa computer wa utakayemuweka stationary utaamua idadi ya wateja.Bei inatagemeana na Duka na eneo kama upo Dar bei ya Kkoo haifanani na posta wajuzi watakuja kukupa bei.
Bei ya hii mashine ni kubwa sana kwa sasa sitaimudu
 
Nunua Printer ya Epson L850. Inafanya kazi 3 (printing, scanning, copy). Halafu tafuta canon photocopy machine hata used tu ili uanze kuzitafuna hela za wanachuo.
 
Back
Top Bottom